BAVICHA kuchakaza Igunga, Operesheni Chukua Igunga

BAVICHA kuchakaza Igunga, Operesheni Chukua Igunga

Ni kweli mkuu kama usemavyo, sipo huko, lakini nimewahi kuwa huko kwa kipindi fulani hivi na naelewa pale palivyo. Kuna wagombea pia wa vyama vingine walikuwa wakitumia mtaji wa Rostam-wanajitangaza kwa mbwembwe wanagombea, halafu Rostam anawaita na kuwapoza kwa kitita. Hawa nao walisaliti juhudi za kuweka uongozi mbadala pale Igunga, sijui safari hii hali itakuwaje.


Hivi yule bwana alijitoa dakika za mwishoni kabisa alikuwa wa chama gani vile? nasika na pesa yenyewe hakuipata je ni kweli mliokuwa huko?

 
BAVICHA tunasubiri mtuletee kinachoendelea huko Igunga au mmekutana na vigingi?
 
Ritz,

Historically my political and battle pride is known for their dignity, principles, strength, bravery, determination,surrender ,no compromise and fighting spirit.

Sometimes you need to sacrifice for the grand mission....sometimes you need to retreat not to surrender.I dont believe in the culture of surrendering,i dont believe into the culture of complaining.I always focus forward, still the imperative of the youths in streets prevails. Kuhusu kuwa mateka wa zidumu fikra za mwenyekiti,naomba unitoe kabisa...mimi kwangu hili ni tusi.au pengine dhana halisi huielewi mkuu(natanguliza apology kama siko sahihi)

Kuhusu bavicha na hapo juu kwenye red,Hilo nilishalitolea maelezo kwenye thread ile......! Kimsingi napinagana na hoja yako kwamba mwenyekiti wako wa chama au viongozi wako wana akili kuliko wanachama wote.Je,huoni kwamba tunastahili kutoka huku kwenye fikra za Ujima? au ndiyo maana JK siku hizi ana kiburi kweli kweli...nadhani vijaan tuna haja ya kutumia njia mbadala ya kutaka kulikomboa tafa letu kuliko kutumia hii demokrasia iliyodumaa

BEN, huyu Ritz ni Ridhiwani Kikwete achana nae halafu mimi nashangaa mtoto wa Prezidaa anakuwa na stereotypes ideas, sijui inakuwaje badala ya kuja na mawazo na fikra zenye kujenga lakini always huwa anaongea pumba. kama unavyojua Ritz like his Father huwa hawana muda na wakati wa kujisomea na kuhusu hilo la BAVICHA ulilieleza vizuri mpaka leo hakuna hata mwana JF ambae ana shaka au tatizo na wewe, sema watu wenye narrow minds kama huyu. wanaendelea kuleta kejeli zisizo na maaana.. kweli ishu ni kuwapiga chini tu, hawa watoto+wazazi wao walioko katika chama cha CCM.
we salute you dude!
 
Ritz,

Historically my political and battle pride is known for their dignity, principles, strength, bravery, determination,surrender ,no compromise and fighting spirit.

Sometimes you need to sacrifice for the grand mission....sometimes you need to retreat not to surrender.I dont believe in the culture of surrendering,i dont believe into the culture of complaining.I always focus forward, still the imperative of the youths in streets prevails. Kuhusu kuwa mateka wa zidumu fikra za mwenyekiti,naomba unitoe kabisa...mimi kwangu hili ni tusi.au pengine dhana halisi huielewi mkuu(natanguliza apology kama siko sahihi)

Kuhusu bavicha na hapo juu kwenye red,Hilo nilishalitolea maelezo kwenye thread ile......! Kimsingi napinagana na hoja yako kwamba mwenyekiti wako wa chama au viongozi wako wana akili kuliko wanachama wote.Je,huoni kwamba tunastahili kutoka huku kwenye fikra za Ujima? au ndiyo maana JK siku hizi ana kiburi kweli kweli...nadhani vijaan tuna haja ya kutumia njia mbadala ya kutaka kulikomboa tafa letu kuliko kutumia hii demokrasia iliyodumaa

Ben ..... never argue with this idiot .... he will always waste your time

I quote Donald Rumsfeld (former USDefense Secretary) .... he said

There are known knowns. These are things we know that we know.
There are known unknowns. That is to say, there are things that we know we don't know.

But there are also unknown unknowns. There are things we don't know we don't know.


underline is the goup of the so called Ritz
 
Baadaya ya igunga mjini jana leo tunahamia kwenye kata za vijijini, tunawashukuru wakazi wa igunga mjini kujitokeza kwa wingi. Tunawaomba na wakazi wa vijijini watupokea kama walivyotupokea mjini, tunaamini kwa imani ya ushindi, vikwazo vimo ila kwetu sisi ndiyo njia ya mafanikio, Bavicha hatutarudi nyuma kamwe katika kipindi hiki cha kutoa wanatarime kwenye giza nene la serikali ya ccm. Mungu ibariki igunga mungu ibariki chadema kwa pamoja tutashinda.
 
Ben,Ukiwa unapambana na mimi kwa hoja naomba usiniweke unaponiweka mimi sio CCM! nadhani umenielewa

Kumbe tunapambana tena? Basi nikuache mkuu mimi nilidhani hoja zinapambana kumbe mwenzangu umesimama umeshika sialaha za jadi? anyaways thanks alot atleast umenipa nafasi ya kuweka mambo mengi sawa....

BEN, huyu Ritz ni Ridhiwani Kikwete achana nae halafu mimi nashangaa mtoto wa Prezidaa anakuwa na stereotypes ideas, sijui inakuwaje badala ya kuja na mawazo na fikra zenye kujenga lakini always huwa anaongea pumba. kama unavyojua Ritz like his Father huwa hawana muda na wakati wa kujisomea na kuhusu hilo la BAVICHA ulilieleza vizuri mpaka leo hakuna hata mwana JF ambae ana shaka au tatizo na wewe, sema watu wenye narrow minds kama huyu. wanaendelea kuleta kejeli zisizo na maaana.. kweli ishu ni kuwapiga chini tu, hawa watoto+wazazi wao walioko katika chama cha CCM.
we salute you dude!

Munyanza,

Thanks alot ndugu.....

Ben ..... never argue with this idiot .... he will always waste your time

I quote Donald Rumsfeld (former USDefense Secretary) .... he said

There are known knowns. These are things we know that we know.
There are known unknowns. That is to say, there are things that we know we don't know.

But there are also unknown unknowns. There are things we don't know we don't know.


underline is the goup of the so called Ritz


Thanks alot Comrade.....nimekuelewa mkuu wangu

Baadaya ya igunga mjini jana leo tunahamia kwenye kata za vijijini, tunawashukuru wakazi wa igunga mjini kujitokeza kwa wingi. Tunawaomba na wakazi wa vijijini watupokea kama walivyotupokea mjini, tunaamini kwa imani ya ushindi, vikwazo vimo ila kwetu sisi ndiyo njia ya mafanikio, Bavicha hatutarudi nyuma kamwe katika kipindi hiki cha kutoa wanatarime kwenye giza nene la serikali ya ccm. Mungu ibariki igunga mungu ibariki chadema kwa pamoja tutashinda.

Kilewo,

Kila la kheri ..... nikirudi bongo wiki hii nitakuja Igunga
 
Napendekeza wana CDM na Wapenzi humu Jf uwekwe utaratibu wa kuchangia hiyo shughuli Pevu! hata kupitia njia ya Simu.
 
Kumbe tunapambana tena? Basi nikuache mkuu mimi nilidhani hoja zinapambana kumbe mwenzangu umesimama umeshika sialaha za jadi? anyaways thanks alot atleast umenipa nafasi ya kuweka mambo mengi sawa....Munyanza,Thanks alot ndugu.....Thanks alot Comrade.....nimekuelewa mkuu wanguKilewo,Kila la kheri ..... nikirudi bongo wiki hii nitakuja Igunga
Mkuu Ben, shukrani sana kwa pamoja tutashinda
 
Ben ..... never argue with this idiot .... he will always waste your time I quote Donald Rumsfeld (former USDefense Secretary) .... he said There are known knowns. These are things we know that we know. There are known unknowns. That is to say, there are things that we know we don't know. But there are also unknown unknowns. There are things we don't know we don't know. underline is the goup of the so called Ritz
Duu! Lakini wazungu wakati mwingine ni wanafiki sana
 
Kumbe tunapambana tena? Basi nikuache mkuu mimi nilidhani hoja zinapambana kumbe mwenzangu umesimama umeshika sialaha za jadi? anyaways thanks alot atleast umenipa nafasi ya kuweka mambo mengi sawa....Munyanza,Thanks alot ndugu.....Thanks alot Comrade.....nimekuelewa mkuu wanguKilewo,Kila la kheri ..... nikirudi bongo wiki hii nitakuja Igunga
Ben.Nimekuambia kupambana kwa hoja sio silaha kama unavyosema, lakini cha kusikitisha umekatazwa na Pro-CDM wenzako kujadiliana na mimi, sijui kwa nini Pro-CDM-JF. Lazima muwe Breadth ili mjifunze vizuri siasa, yaani nyie mtu akiwa Against CDM kwa hoja basi anakuwa mjinga! Siasa sio ugomvi wala chuki
 
Ben ..... never argue with this idiot .... he will always waste your time I quote Donald Rumsfeld (former USDefense Secretary) .... he said There are known knowns. These are things we know that we know. There are known unknowns. That is to say, there are things that we know we don't know. But there are also unknown unknowns. There are things we don't know we don't know. underline is the goup of the so called Ritz
Psychiatirist, haya ni matatizo ya LATIFA, siwezi kumshangaa
 
Ben.Nimekuambia kupambana kwa hoja sio silaha kama unavyosema, lakini cha kusikitisha umekatazwa na Pro-CDM wenzako kujadiliana na mimi, sijui kwa nini Pro-CDM-JF. Lazima muwe Breadth ili mjifunze vizuri siasa, yaani nyie mtu akiwa Against CDM kwa hoja basi anakuwa mjinga! Siasa sio ugomvi wala chuki
Zina weza zikawa ugovi ama chuki: kama mtoa hoja ama mada atakuwa anaongea uongo kama wewe, watu kama nyie hamfai kuwa rafiki kwa wanasiasa wenye mtazamo wa ukweli, haki na uwazi so hatuwezi kuacha kumuambia mtu aache kujibizana na kilaza kama wewe kwa kuacha kufanya hivyo waweza fanya watu wengi kuwa kila kama wewe.
 
Zina weza zikawa ugovi ama chuki: kama mtoa hoja ama mada atakuwa anaongea uongo kama wewe, watu kama nyie hamfai kuwa rafiki kwa wanasiasa wenye mtazamo wa ukweli, haki na uwazi so hatuwezi kuacha kumuambia mtu aache kujibizana na kilaza kama wewe kwa kuacha kufanya hivyo waweza fanya watu wengi kuwa kila kama wewe.
Ndugu, kwanza unatakiwa ujue JF, sio ya CDM, yaani mlivyokuwa na upofu mnataka members wote humu JF, wawe mateka wa CDM! hilo aliwezekani ata kidogo, kuna members wapo huru humu hawafungamani na chama chochote cha siasa
 
Wakuu mliopo igunga tunaomba msisahau kutuwekea na picha za mikutano ya huko ya bavicha
 
Ndugu, kwanza unatakiwa ujue JF, sio ya CDM, yaani mlivyokuwa na upofu mnataka members wote humu JF, wawe mateka wa CDM! hilo aliwezekani ata kidogo, kuna members wapo huru humu hawafungamani na chama chochote cha siasa

watu wanahamia cdm wenyewe kwakuwa wanashuhudia vijana wa CDM unavyoshuka na hoja, mnasubiri nini na nyie kuwashawishi member wa jf kuwa ccm upinzani 2015? pili ccm mtamshawishi nani kujiunga nanyie ama kutetea hoja yeyote ile mnayo ileta ile hali mmekuwa watu wa propaganda?*

my riligion is simple. my religion is kindness brother
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom