BAVICHA iko wapi?

BAVICHA iko wapi?

ZeMarcopolo

Platinum Member
Joined
May 11, 2008
Posts
14,279
Reaction score
7,681
Haki, usawa na utawala bora haviwezi kuwepo midomoni tu. Ni lazima vionekane kwa vitendo.

Bavicha iko wapi?

Hivi karibuni kuna vijana walifukuzwa uanachama Bavicha na Kamati Tendaji kwa kosa la kuwachafua viongozi wa chama kwenye mitandao ya kijamii.

Hata hivyo, kijana Ben Saanane aliyehusika na kuwachafua viongozi kwenye mitandao ya jamii alisamehewa. Walioadhibiwa ni wale waliomchafua Dr. Slaa. Huyu Ben Saanane alimchafua Zitto Kabwe.

Msamaha huo wa Bavicha ulitolewa sababu mbalimbali, lakini wapo walioamini kuwa ni msamaha wa upendeleo unaokiuka misingi ya haki, usawa na utawala bora.

Cha kushangaza ni kwamba kupitia mitandao ya facebook na JamiiForums kijana Ben Saanane anaendelea kumchafua Zitto Kabwe, ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, kwa kumhusisha na kesi za ugaidi!

Viongozi wa Bavicha wako kimya wakitabasamu kuona Zitto anachafuliwa.

Bavicha iko wapi?
Je, kuchafua viongozi kwenye mitandao ya jamii sio kosa tena?
Je, kiongozi asiyepaswa kuchafuliwa ni Dr. Slaa peke yake?
Je, ni lini Bavicha itaanza kumtendea haki Zitto Kabwe, kiongozi aliyejitolea kuiimarisha Bavicha kwa nguvu zake zote?
 
Bavicha ya Cdm unaitaka ujiungenayo? huko hakuna ya rumumba maana hamchelewi kuhujumu chama chetu nyie mana mlishazoea umatonya mala ooh hawakunitekelezea matakwayangu!
 
Hivi Kikwete yuko wapi wakati uchumi wa nchi ukiangamizwa na mgao wa umeme usioisha (japo aliahidi in 2006 kuwa tatizo hilo litakuwa historia), yuko wapi wakati nchi inabakwa mchana kweupe (japo in 2006 alitoa deadline kwa mafisadi ambao alieleza bayana kuwa anawafahamu kwa majina), yuko wapi wakati nchi inatumbukizwa kwenye vurugu (za kidini na za kijahili)....

Mkuu, haya ndio maswali yenye mashiko kwa Watanzania. Ifike mahala tuweke kando itikadi za kisiasa na tutangulize uzalendo kwa kuangalia hatma ya nchi yetu.
 
Wewe wa CCM ya CHADEMA yakuwashia nini? Si mmewapokea kwa nderemo na vifijo?

Bavicha ya Cdm unaitaka ujiungenayo? huko hakuna ya rumumba maana hamchelewi kuhujumu chama chetu nyie mana mlishazoea umatonya mala ooh hawakunitekelezea matakwayangu!

Majibu ya kejeli za kishabiki yameshaanza kuzoeleka toka kwa baadhi yenu.
 
Hivi Kikwete yuko wapi wakati uchumi wa nchi ukiangamizwa na mgao wa umeme usioisha (japo aliahidi in 2006 kuwa tatizo hilo litakuwa historia), yuko wapi wakati nchi inabakwa mchana kweupe (japo in 2006 alitoa deadline kwa mafisadi ambao alieleza bayana kuwa anawafahamu kwa majina), yuko wapi wakati nchi inatumbukizwa kwenye vurugu (za kidini na za kijahili)....

Mkuu, haya ndio maswali yenye mashiko kwa Watanzania. Ifike mahala tuweke kando itikadi za kisiasa na tutangulize uzalendo kwa kuangalia hatma ya nchi yetu.

Post yako imenikumbusha neno "incoherent".
 
Kwa hiyo unataka Ben afukuzwe ili ajee mumupokee kwa mikono 2 kwa macho yote pua na mguu yote?.
 
Ni wapi nilikomchafua

BAVICHA inakuhusu nini wewe CCM?Ni lini umeanza kuwa na nia njema na CCM?

Kwa akili yako ya "kihindi" unaona kumhusisha na ugaidi sio kumchafua.

Sio kosa lako kwa sababu wewe unanufaika na kumchafua Zitto, ila kinachoshangaza ni Bavicha kufumbia macho Zitto kuchafuliwa.

Je, Bavicha nayo inanufaika na kuchafuliwa kwa Zitto? Kama unavyonufaika wewe kwa kazi hiyo?
 
Kwa akili yako ya "kihindi" unaona kumhusisha na ugaidi sio kumchafua. Sio kosa lako kwa sababu wewe unanufaika na kumchafua Zitto, ila kinachoshangaza ni Bavicha kufumbia macho Zitto kuchafuliwa. Je, Bavicha nayo inanufaika na kuchafuliwa kwa Zitto? Kama unavyonufaika wewe kwa kazi hiyo?

Wewe Zitto akitakasika unanufaika nini?
 
Jibu hoja CHADEMA inakuhusu nini?
Minadhani mwenzetu kahoji kama mdau wa siasa hakuhoji kama yeye ni CCM, chamsingi nachamaana naingekua busara zaidi kama hoja hii inge jibiwa na viongozi wa CDM sio vifuata upepo,ambao hata yalipo makao makuu ya chama hampajui
 
Ninachotaka kuona ni HAKI inatendeka, misingi ya Usawa na Utawala Bora inaheshimiwa.

Tanua wigo wa haki kutendeka na misingi ya utawala bora kuheshimiwa kwa kujumuisha pia wajibu wa serikali ya Kikwete kwa Watanzania ku-dispense haki na kuongoza kwa kuzingatia utawala bora.
 
Ni wapi nilikomchafua

BAVICHA inakuhusu nini wewe CCM?Ni lini umeanza kuwa na nia njema na CHADEMA?
Wanahangaika.
Waliloliita "pigo takatifu" sasa kila kitu nje nje. Na hii ndiyo ilikuwa karata yao ya mwisho. Bahati mbaya (Ni Mapenzi ya Mwenyezi Mungu), wameicheza stupidly.

Safari ya ukombozi inaendelea. Zamu hii wapiganaji wakiwa na nguvu kemkem.
 
Back
Top Bottom