Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,216
- 7,908
#Bavicha mzigomi
Pale Lumumba walidhani kuzuia viongozi kufanya mikutano, kuwatia misukosuko viongozi wa kitaifa kwa kutumia polisi ndo tayari wameua, wamemaliza kazi! Sasa wanashangaa They are still alive.
Maelfu ya Vijana wa kike wanaendelea na maandalizi ya uchaguzi kila kona ya nchi. Kila kona ni #Bavicha Mzigoni Na hii ni #BavichaQueens chini ya #DorcusFrancis. Mwaka huu ng'ombe haelekezewi kibra, Atachinjwa alivyolala
Pale Lumumba walidhani kuzuia viongozi kufanya mikutano, kuwatia misukosuko viongozi wa kitaifa kwa kutumia polisi ndo tayari wameua, wamemaliza kazi! Sasa wanashangaa They are still alive.
Maelfu ya Vijana wa kike wanaendelea na maandalizi ya uchaguzi kila kona ya nchi. Kila kona ni #Bavicha Mzigoni Na hii ni #BavichaQueens chini ya #DorcusFrancis. Mwaka huu ng'ombe haelekezewi kibra, Atachinjwa alivyolala