John Marwa
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 275
- 28
Nimeona mechi moja kata ya Kingori nilichogundua wengi sio wakazi wa arusha wanaocheza inaonekana wanatoka Tarime maana kupigana na matusi ni nje nje halafu cha kushangaza wachezaji hawavai jezi wanavaa magwanda kama ya mgambo na chini ni bukuta ya kaki! Wanunulieni jezi basi na viatu!