Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Bavicha mkoa wa Arusha imezidi kujipanga kwa kuhakikisha kuwa inawatia vijana ujasiri.Katika kupata vijana wameanzisha Bavicha Cup,kombe litakaloshindaniwa kwenye kata zote za mkoa wa Arusha.Akizungumza na vyombo vya habari ofisini kwake jana mwenyekiti wa Bavicha mkoa Kamanda Nanyaro,ambaye pia ni diwani wa Levolosi,alisema kuwa watatumia njia zote,michezo na njia mbalimbali kuhamashisha vijana kujua na kutetea haki zao
Kesho Jumamosi tuna fainal Kata ya Kingori,na Jumapili tutazindua Longido,hatutalala hadi kieleweke,alisema Nanyaro...
Source www.chademaarusha.com
Kesho Jumamosi tuna fainal Kata ya Kingori,na Jumapili tutazindua Longido,hatutalala hadi kieleweke,alisema Nanyaro...
Source www.chademaarusha.com