katika hali ya kuonyesha ushiriano na umoja, nimeipenda hili swala la Baraza la Vijana wa Arusha kumtemeblea mke wa MArehemu Msafiri aliye uwawa kwa kikatili huko Arumeru Mashariki.
Nivema sana kama chama na kama makamanda wenzake kua pamoja na familia ya marehemu kwakua alifia haki na Chama pia.
Saaafi sana Makamanda wa BAVICHA Arusha kwa kuonyesha ushirika na ukomavu wenu.