BAVICHA Arusha wamtembelea Mjane wa Marehemu Msafiri Usa- River

BAVICHA Arusha wamtembelea Mjane wa Marehemu Msafiri Usa- River

attachment.php

Watanzania bana kwa misaada ya kujionyesha kulikuwa kuna haja gani kupiga picha na mfuko wa unga, mpeni misaada endelevu sio kumpelekea mfuko wa mahindi na sukari.
 
"To our most bitter opponents we say: We will match your capacity to inflict suffering by our capacity to endure suffering. We shall meet your physical force with soul force. Do to us what you will and we shall continue to love you. Throw us in jail and we shall still love you. Bomb our homes and our churches and we will still love you. Threaten our children and we will still love you. Send your hooded perpetrators of violence into our communities in the night hours. Beat us and leave us half dead, and we shall still love you. But be assured we will wear you down by our capacity to suffer. One day we shall win freedom, not only for ourselves but for you as well. Appealing to your consciences and your heart, we shall win you over in love in the process of gaining our freedom. Our victory will be a double victory."
 
Watanzania bana kwa misaada ya kujionyesha kulikuwa kuna haja gani kupiga picha na mfuko wa unga, mpeni misaada endelevu sio kumpelekea mfuko wa mahindi na sukari.

.
Mkuu Ritz nini maoni yako hapa - Je kulikwa na ulazima wa mpaka kujionyesha mbele ya watu - si angeweza kuagiza aitiwe faragha na akampa msaada endelevu

url
 
Kamanda Ben
Tunashukuru sana,tafadhali tuwasiliane tuone namna bora ya kuisadia hii familia,marehemu aliacha watoto watatu,namba yangu ni 0754834152
Nawapongeza Bavicha Arusha kwa jambo hili.Hizi ndizo siasa zinazofaa.siasa zinazojali utu na kuthamini mchango wa mashujaa wetu katika harakati hizi

Comrade Nanyaro Ephata na makamanda wengine kwa ujumla hongereni sana kwa jambo hili.Tushirikiane tuone njia ya kuisadia familia hii

Wakati huu pia tuendelee kushinikiza Jeshi la polisi kuhakikisha kila aliyehusika katika tukio lile haki inatendeka.Katika harakati hizi tunapoteza wenzetu wengi njiani,wengine wanajeruhiwa.Tuonyeshe mshikamano kwa vitendo katika kukabiliana na casualities zitokonazo na mapambano haya.

Wapenda mabadiliko wote Jf tuangalie namna ya kusaidia familia hii kwa kushirikiana na BAVICHA na hata chama
Nitawasiliana na kamanda Ephata(mwenyekiti BAVICHA-Arusha) tuone namna bora ya kufanya hili
 
Napendekeza BAVICHA waandae mkakati wa muda mrefu wa kuisaidia familia hii, japo bado sijajua uwezo wao wa kiuchumi. Ni kweli mahitaji kama mchele, unga na sabuni tuupeleke, lakini tutapeleka hadi lini? hebu kaeni chini, angalieni namna ya kuikwamua familia hiyo ambayo imeondokewa na bread winner kwa namna ya uwekezaji ambao utawasaidia maisha yao yote. Angalieni, kuna watoto wanaosoma? kama ndiyo tuweke mkakati wa kusaidia hata ada. Pia huyu mama anaweza kupatiwa mtaji gani ili afanye kazi itakayomwingizia kipato cha kudumu bila kutegemea kuletewa ready made food.
Ni hayo tuu wadau

wazo zuri sana!
 
makamanda wa bavicha arusha nawapongeza hongereni sana msiogope maneno ya magamba kusema kwao kawaida
 
Back
Top Bottom