Battle ya waliyosoma na wasiyosoma

Battle ya waliyosoma na wasiyosoma

Mkuu, asante sana. Nimetafuta cha kuongezea kwenye andiko lako nimekosa, limetimia kila idara.

Vipi wanaodhani kwamba wasiosoma wanauwezekano wa kuwa mbali zaidi kwa sababu wamekuwa na muda mwingi wa kupambana mtaani kuliko wasomi waliokaa sana darasani baada ya miaka mingi ndipo wakaruhusiwa kurudi uraiani?
Wasiosoma Ili wafanikiwe wanahitaji kuwatumia waliosoma katika nyanja zote, kilimo, uvuvi,usafirishaji, nk
 
Simaanishi katika mtazamo huo bali namanisha kuwa na elimu kiasi na kisha kuishi katika mazingira ya wasiosoma na kutumia fursa zilizopo.

Asante sana Mkuu, nimekukubali.
 
Wasiosoma Ili wafanikiwe wanahitaji kuwatumia waliosoma katika nyanja zote, kilimo, uvuvi,usafirishaji, nk

Mkuu, japo hatujuani lakini ninaweza kutabiri namna maisha yako ni ya mafanikio hata bila ya kuonana.
 
Wenye akili ndio walianzisha elimu si wenye Elimu wakaja kudumaza akili.😎
 
Wakuu! Naomba nitumie salamu zilizo zoeleka zaidi visiwani, “Hamjambo?”, “Mumesalimika?”.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Pamoja na mateso yote wanayopitia waliotumia muda mwingi mashuleni ambao kwa sasa wamezagaa kila kona ya taifa hili, kiasi cha baadhi kuwatafsiri kama wamepoteza uelekeo, ndugu zangu aliyesoma kasoma.

Afadhali ya yeye anayeteseka muda huu, lakini matumaini ya kesho yake kubadilika ghafla ni makubwa.

Fikiria mtu ambaye ajira zote zinazotoka iwe ni taasisi nyeti au taasisi yoyote ya serikali au binafsi yeye hazimuhusu kwa sababu hajasoma.

Ni bora aliyesoma anaweza kufanya hata kazi za asiyesoma kuliko asiyesoma ambaye kazi za aliyesoma hazimuhusu.

Ni rahisi zaidi kwa aliyesoma kuishi maisha ya ahueni, yaani kati kwa kati sio chini wala sio juu kuliko asiyesoma, asiyesoma akipigika anapigika kweli.

Najua pande zote mbili zina sumu kali sana, na zinatafuta pakuzitemea. Nawakaribisha kwenye huu uzi, zitemeeni hapa. Bila kujali umesoma au hujasoma, unaweza kukaa upande wowote.

Ama namna gani, wewe unaonaje?

Asante.

MUHIMU
Kuendana na uzi huu, msomi ni mwenye elimu ya fani kwa angalau ngazi ya Cheti.
ndugu zangu aliyesoma kasoma

Hapa unanikumbusha wanavyoongea ndugu zangu Wazaramo na msemo wao: Acholile kachola
 
Mkuu, asante sana. Nimetafuta cha kuongezea kwenye andiko lako nimekosa, limetimia kila idara.

Vipi wanaodhani kwamba wasiosoma wanauwezekano wa kuwa mbali zaidi kwa sababu wamekuwa na muda mwingi wa kupambana mtaani kuliko wasomi waliokaa sana darasani baada ya miaka mingi ndipo wakaruhusiwa kurudi uraiani?
Maisha sio ushindani, kila mtu ana safari yake na ana muda wake wa kufanya kila kitu.
Na kama tukiongelea mafanikio ya kimaisha basi hayategemeani na muda wala elimu na wala hayafanani kwani kila mtu ana mafanikio yake
Ni sawa katumia muda mwingi kusoma, still amepata elimu ni kitu cha thamani, but asiyesoma hakupata fursa hiyo, still amepat muda mwingi wa kufight kitaani ambao msomi hakuupata
 
Wenye akili ndio walianzisha elimu si wenye Elimu wakaja kudumaza akili.[emoji41]

Hahaha, sawa Professor. Vipi kwenye mtazamo wa unafuu wa kimaisha, elimu inasaidia chochote au kusoma ni kupoteza tu muda?
 
Huwa najiuliza sana na wala sipati majibu. Hivi Isaac Newton (huyu ni baba wa mechanics), huyu alisoma shule gani? Mbona wakati anashusha nondo zake kulikuwa hakuna shule hata moja? Kama shule tunafuata elimu, mbona Isaac Newton alikuwa na elimu kabla ya shule na bila walimu? Kumbe unaweza kuwa na elimu bila shule? Mleta mada hili utaliongeleaje?
 
Wakuu! Naomba nitumie salamu zilizo zoeleka zaidi visiwani, “Hamjambo?”, “Mumesalimika?”.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Pamoja na mateso yote wanayopitia waliotumia muda mwingi mashuleni ambao kwa sasa wamezagaa kila kona ya taifa hili, kiasi cha baadhi kuwatafsiri kama wamepoteza uelekeo, ndugu zangu aliyesoma kasoma.

Afadhali ya yeye anayeteseka muda huu, lakini matumaini ya kesho yake kubadilika ghafla ni makubwa.

Fikiria mtu ambaye ajira zote zinazotoka iwe ni taasisi nyeti au taasisi yoyote ya serikali au binafsi yeye hazimuhusu kwa sababu hajasoma.

Ni bora aliyesoma anaweza kufanya hata kazi za asiyesoma kuliko asiyesoma ambaye kazi za aliyesoma hazimuhusu.

Ni rahisi zaidi kwa aliyesoma kuishi maisha ya ahueni, yaani kati kwa kati sio chini wala sio juu kuliko asiyesoma, asiyesoma akipigika anapigika kweli.

Najua pande zote mbili zina sumu kali sana, na zinatafuta pakuzitemea. Nawakaribisha kwenye huu uzi, zitemeeni hapa. Bila kujali umesoma au hujasoma, unaweza kukaa upande wowote.

Ama namna gani, wewe unaonaje?

Asante.

MUHIMU
Kuendana na uzi huu, msomi ni mwenye elimu ya fani kwa angalau ngazi ya Cheti.
Binafsi ni degree holder,ila nashauri wazee tupeane moyo,kama ujisikiavyo kuona kazi imetoka afu qualifications wanazozitaka hauna,ndivyo hivyo wajisikiavyo watu ambao hawajasoma katika kuiendeleza mada hii.Tupeane moyo kuwa regardless umesoma au hujasoma,unanafasi ya kufanya kitu na kutengeneza hela..Tupeane moyo wazee inauma sana kutamani kurudi shule ila muda umekutupa mkono,kwamba wakati wako umepita....hii mada inania nzuri ila haitozaa matunda mazuri hivyo tuipotezee ikibidi.
 
Wakuu! Naomba nitumie salamu zilizo zoeleka zaidi visiwani, “Hamjambo?”, “Mumesalimika?”.

Niende moja kwa moja kwenye mada. Pamoja na mateso yote wanayopitia waliotumia muda mwingi mashuleni ambao kwa sasa wamezagaa kila kona ya taifa hili, kiasi cha baadhi kuwatafsiri kama wamepoteza uelekeo, ndugu zangu aliyesoma kasoma.

Afadhali ya yeye anayeteseka muda huu, lakini matumaini ya kesho yake kubadilika ghafla ni makubwa.

Fikiria mtu ambaye ajira zote zinazotoka iwe ni taasisi nyeti au taasisi yoyote ya serikali au binafsi yeye hazimuhusu kwa sababu hajasoma.

Ni bora aliyesoma anaweza kufanya hata kazi za asiyesoma kuliko asiyesoma ambaye kazi za aliyesoma hazimuhusu.

Ni rahisi zaidi kwa aliyesoma kuishi maisha ya ahueni, yaani kati kwa kati sio chini wala sio juu kuliko asiyesoma, asiyesoma akipigika anapigika kweli.

Najua pande zote mbili zina sumu kali sana, na zinatafuta pakuzitemea. Nawakaribisha kwenye huu uzi, zitemeeni hapa. Bila kujali umesoma au hujasoma, unaweza kukaa upande wowote.

Ama namna gani, wewe unaonaje?

Asante.

MUHIMU
Kuendana na uzi huu, msomi ni mwenye elimu ya fani kwa angalau ngazi ya Cheti.
Hahahahahaha!Asante ndugu mtangazaji,hawa wasiosoma wana tucheka sana sisi tuliosoma ,eti tumepoteza muda bure! wakati siku moja inatosha kwetu kubadilisha life,Wakati wao hata itokee nafasi gani yenye kuhitaji elimu hatoboi.Pia ni majinga matupu hata kuandika hawajui..
 
Hahaha, sawa Professor. Vipi kwenye mtazamo wa unafuu wa kimaisha, elimu inasaidia chochote au kusoma ni kupoteza tu muda?
Elimu haipo kwaajili ya watu wote ila walio bora.
Jua wewe ni Bora eneo gani kabla ya kujielimisha ndipo utaona msaada wa elimu
 
Cha kuelewa ni kwamba siku zote wazazi wanaponisomesha wanaamini moja kwa moja kuwa nikihitimu naingia kibaruani lakini huwa kinyume chake ....wamekusomeshea hela zote umemalizia shulen unahitimu huna hata mia na hujui nani wa kumuomba mtaji ndo hapo linakuja suala la kubadilisha elimu yako kuitumia kwenye uhalisia bila mtaji ni ngumu ndugu zangu una ideas ila pesa huna au una pesa idea huna
Wahitimu tusiogope kujichanganya kitaa tupate mitaji tukatumie elimu zetu zitunufaishe ...Tatzo kubwa la wasomi tuliowengi ni uoga na dharau eti cwez kuuza matunda kwa sabb mm ni bachelor holder endelea kuzurula na bahasha utashtukia una miaka 50 hujapata kazi na huna chochote.
 
Mkuu, unaposema umri umeenda unamaanisha miaka mingapi?

Hata hivyo, ili kutoka kimaisha wala idadi ya miaka uliyopambana inaweza isiwe na umuhimu, cha muhimu ni muda wako kufika.

Kuna watu wametumia mwaka mmoja kutengeneza mafanikio na koneksheni ambazo wengine wamezipambana kwa zaidi ya miaka 20 hawajazipata.

Siku pekee umri utakuwa umekwenda sana ni ukifa, lakini kama bado uko hai ni bora kuwekeza kuliko kukaa aido kwa kuamini umechelewa.
Amen.!
 
Back
Top Bottom