Opuk Jater
Senior Member
- Dec 25, 2018
- 145
- 130
Hapo umesema neno... Even acting, ukiangalia Tamthilia ya kutoka Kenya itakupa hamu ya kuangalia matukio yanayofuata ila ya Tanzania ubunifu ZERO ila wanajua kukaa nusu uchi utafaidi mapaja....Nimecheka sana waTanzania kucompare music industry ya kwao na hapa na saizo hakuna nchi imewapatia fedha na support kama Kenya. Hizo video there's a time they were all being directed by Kenyans. Mnafaa kushukuru badala ya kupiga kifua
Muziki wa biashara wanaweza but muziki wa kipaji tena unakung'utwa LIVE BILA CHENGA upo KENYA...