amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Vibaya mno!!!! yaani kama vile nipo itv na mikamera naulizwa pale najiskiaje nlivyposhindaAmna, naona kama umeshinda BIKO
Vibaya mno!!!! yaani kama vile nipo itv na mikamera naulizwa pale najiskiaje nlivyposhindaAmna, naona kama umeshinda BIKO
yaani wewe wakuacha kuniita mimi", lazima nikuachie radhiUmeacha kubet engineer!?..
aaaaa tatizo uko team ya kichovu pambana na njaa yako mimi huko nlienda mpaka mpesa kuulizia labda mtandao umesumbua injinia katuma imebaki hewani ila hola nimehama team rasmi tokea jana na mema nimeshakula jana na leo naendelea kuyafaaidi



amu ulivobadirika fasta hata sijaamini!! kumbe muamala haukuthibitishwa tangia siku ile 


nimecheka mno.hahaaaUnanichekeshaga sana
Usiniroge shoga mimi na wewe jamaniHuu mgao usiponikumbuka nakuroga aroo
kwani umenisahau "?Mi hua najisemea kua nakesha sana jf kwakua sina kazi. Na wenzangu ni hivyo hivyo?
hahaaa mimi mwenyewe ni jobless piamie nilishawahi kuwaza hivyo hivyo mkuu,nikaconclude jobless sio Becky peke yake,kila nikiingia humu naona watu wanajimwaga id zile zile hahaa
Ahahahahahah ukifanikiwa nitag nije nishuhudieameenda CRDB , bahati mbaya amekuta wanavikao vya bodi , maana injinia hua anahudumiwa na kimei mwenyewe mateller waliosoma HKL hawawezi kumhudumia hivo nasubiri tu.
Ndugu yetu hela tunampenda sanaBwana ringishianeni hela sio matokeo ya shule. Kuna watu hawajagusa darasa wanayo hela hatari. Na wengine wamesoma madarasa kama yote mpaka sasa wanahustle. Kura yangu iko kwa alieonyesha mihela
injinia mkuu wangu nakusubiri watakukimbia wote lakini sio mimi , mimi ni shabiki wa kweli hata ukianguka kutoka kwenye mnara nitakuokoa tu.








we kweli shabiko wa kweliAmu niringishie tu!!Usiniroge shoga mimi na wewe jamani
Sasa jeeeeAs usual![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
usicheke injinia anaweza kunitoa hata elfu kumi nikapata kianzio cha kucheza biko.






Nikumbushe Lugolakwani umenisahau "?