BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

bachelor sugu

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
2,689
3,641
Amani ya mola iwe juu yenu nyoote.

Ni jumapili tulivu kabisa yenye kila dalili ya kuwa siku njema na hali ya hewa ya kupendeza.

Nawakaribisha kwenye mchuano huu mkali wa hoja na kunadi Sera zao hawa washindani wetu wawili a.k.a Mafahari wawili "Humble African " VS " CCNP Engineer ".

Watajwa hapo juu ni watu wenye upinzani mkali usio mfano ila Leo nadhani itabidi tumpate mshindi kutokana na Hoja zao binafsi na pia hata nyie watazamaji mtaruhusiwa kuchangia na kupiga kura yako kwa yule ambaye unahisi labda kama ingekuwa tunamchagua kuwa muwakilishi/Kiongozi wetu humu Jamvini ungempa KURA YAKO NANI??

Vigezo na masharti ya mchuano;

--Kuchafuana ili kuteka kura za wapiga kura RUKSA
--Unaruhusiwa kutumia data mbalimbali za wahusika kuwakosoa au kuwaunga mkono katika mtanange huu.
--POVU ruksa
--Wapiga kura mnaruhusiwa kutafuta upande wa kuunga mkono kati ya Humble African na CCNP Engineer .

Tafadhali naomba ifahamike kuwa hapa leo ndio uwanja wenu wapinzani wetu hivyo kila mmoja autumie kadri anavyoweza kutoa Hoja zake na sio kwenda kuchafua nyuzi za watu kumsema mtu mwingine.
HUU NDO UZI WENU MAALUMU KWA AJILI YA MPAMBANO WENU.

NB; Matokeo yatajumlishwa Automatically kwa EFD machine na Risiti atapewa mshindi.

Naomba sasa niwaite ulingoni MAFAHARI wetu tayari kwa mapambano.

Humble African
CCNP Engineer


Watazamaji nanyi karibuni sana mapambano ndo unaenda kuanza.
 
Wanapambana kwa lipi? Mwisho wa siku kuna atakayeondoka na kitita cha pesa?
 
Sio kwa kuwa umeruhusiwa povu basi ndo uteme na mate mkuu kama hauwajui hawa watu kaa kimya haiwezekani kutwa kucha wanachafua nyuzi za watu kusemana sasa huu ndo Uzi wao maalumu.
Pumba tupu, halafu ndo nini
 
Jina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)


Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.

Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.

Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)


Sifananishwi na wabwekaji!!!

Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
Ok sawa tumekusikia ngoja tusubirie wapiga kura waje na maswali yao hivyo tafadhali uwape ushirikiano pia hata kwa mpinzani wako Humble African
 
Jina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)


Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.

Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.

Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)


Sifananishwi na wabwekaji!!!

Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
Usiforce m.ku.n..u.dn. kutafuna mua Ally happy kasoma HKL na hauna ulichompita
 
Jina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)


Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.

Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.

Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)


Sifananishwi na wabwekaji!!!

Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
Promota pia nina swali kwako engineer,
Mbona umekuwa na stress sana za kimaisha mpaka kufikia kutaka kufanya utapeli wa kuchukua mkopo bank na kuacha kazi nn hasa tatizo je ni kuwa mshahara haukutoshi au ni nn tatizo lako
 
Jina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)


Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.

Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.

Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)


Sifananishwi na wabwekaji!!!

Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
Umeacha kubet engineer!?..
 
Jina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)


Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.

Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.

Huyu PUGI aliletaga UNAFIKI kwenye magroup ya TMT alivogundulika akatimuliwa na chyupi kichwani na Screenshort ninazo, na akibisha naweka namba yake ya cm hapa. Alikua Anatumia nickname ya Spiritual Crypto.

Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)


Sifananishwi na wabwekaji!!!

Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
Unatambulika na Bodi ya Wahandisi Tanzania sio unajiita Mhandisi wakati bado ujawa qualified
 
Back
Top Bottom