Baton Rouge: 'Three US police officers shot'

Baton Rouge: 'Three US police officers shot'

Sasa naona weusi wameamua kuanza kuwawinda askari polisi wazungu. Hii ni hatari sana maana mahali popote pale kunaweza kukatokea mauaji ya polisi wazungu na wao si ajabu wanaweza sasa kutumia hii kitu 'nilihofia usalama wangu' kuongeza mauaji ya weusi wasio na hatia. Hali inazidi kuwa mbaya na hii Republicans wanaweza kuitumia vizuri sana katika kampeni za uchaguzi na hivyo kumshinda Hillary na kubaki na majority kwenye senate na congress.
weusi hawana cha kupoteza maisha ni magumu kwa wengi wao
 
Mbona Florida kuna immigrants wengi tu.

Ushafika South Beach wewe?

Hata New Mexico mbona immigrants wengi tu?

Hazifai kivipi sasa?


Kama wamebadilika, good for them....Niko kwa dikteta Jose Eduardo dos Santos. Ila sijui Africa tuna mikosi gani?
 
weusi hawana cha kupoteza maisha ni magumu kwa wengi wao
Kwahio Obama ameshindwa kuboresha sera za uchumi ziwasaidie wamarekani weusi.

Mbona Thabo Mbeki aliweza South Africa na ile sera yake ya Black Empowerment?
 
Walipindua meza Wakati Obama anaweka bill ya kupitia upya sheria ya kumiliki silaha.

Sasa hivi wanageukana. Wasipochukua hatua mapema, hivi vita vitaanza kushika moto taratibu.

Blacks hawana cha kupoteza, hao polisi ndo wana cha kupoteza.
niggas may hire mercenaries from Africa or Jamaica for the show down
 
Kwahio Obama ameshindwa kuboresha sera za uchumi ziwasaidie wamarekani weusi.

Mbona Thabo Mbeki aliweza South Africa na ile sera yake ya Black Empowerment?
Hakuna kitu hata south blacks wananjaa tu, ndio maana wanawashambulia blacks wenzao wa Africa, pamoja na hyo sera kuwepo
 
Kama wamebadilika, good for them....Niko kwa dikteta Jose Eduardo dos Santos. Ila sijui Africa tuna mikosi gani?

Angola na utajiri wa madini na mafuta sasa hivi eti kuna ukame tena unapelekea kuwepo na uhaba wa chakula!
 
Sasa tuelezee huo uzoefu wako ulipokuwa huko kwa wala mayai au big breakfast ya jicho la ng'ombe.
Hahaha...It is cool and nice place to be! blacks wapo wa kutosha..Hali ya ki usalama siyo mbaya...Mengineyo atamalizia mkuu Nyani-Ngabu kwani ana uzoefu wa kujua mitaa than me...
 
Hahaha...It is cool and nice place to be! blacks wapo wa kutosha..Hali ya ki usalama siyo mbaya...Mengineyo atamalizia mkuu Nyani-Ngabu kwani ana uzoefu wa kujua mitaa than me...

Mkuu, upo mji gani?

Nasikia Cabinda ndio muziki hasa, mji una kila kitu na oil yake yaitwa Kuwait of Afrika.
 
Kwahio Obama ameshindwa kuboresha sera za uchumi ziwasaidie wamarekani weusi.

Mbona Thabo Mbeki aliweza South Africa na ile sera yake ya Black Empowerment?


Mkuu Obama as the first black President is walking a fine line between the black community and the rest of the country. He's expected to solve all issues that blacks have, while he can only do enough. They need to put their own house in order, kwanza.
 
Mkuu Obama as the first black President is walking a fine line between the black community and the rest of the country. He's expected to carry all issues that blacks have, while he can only do enough. They need to put their own house in order, kwanza.

He deserves credit for what he has done.
 
Here we go...word on the street is that one of the officers killed is African-American!
 
Here we go...word on the street is that one of the officers killed is African-American!
Kwawao polisi ni polisi tu labda. Yule alomuua jamaa kwenye gari hivi karibuni si inasemekana ana asili ya Chinese. Hii vita sio nzuri kwa USA mana kila mtu anauwezo wa kumiliki silaha. Watafute solution kabla haijachafuka.
 
Leo tena kama ilivyokuwa wiki iliyopita kule Dallas, leo askari watatu wameuawa huko Baton Rouge.. Mmoja ya aliyeuawa ni askari mweusi anayefahamika kama Montrell Jackson. Huu ni ujumbe ambao askari huyo aliuandika kwenye Account yake ya Facebook siku chache zilizopita. Rafiki yangu Nyani Ngabu anasema US hakuna ubaguzi..

CnmLEf_VMAAJgsh.jpg:large

Cnl41LWUkAE1T6_.jpg


Habari kamili hii hapa:

BATON ROUGE, La. (AP) — Three Baton Rouge law enforcement officers were killed and three others wounded Sunday, less than two weeks after a black man was shot and killed by police here in a confrontation that sparked nightly protests across the city that reverberated nationwide.

Police said the suspect was shot and killed at the scene. Authorities initially believed that two other assailants might be at large, but hours later said the dead gunman was the only person who fired at the officers.

However, a state police spokesman said investigators were unsure whether he had some kind of help from others.

"We are not ready to say he acted alone," Major Doug Cain said. Two people were detained in the nearby town of Addis. Cain called them "persons of interests."

The shooting — which took place just before 9 a.m., less than a mile from police headquarters — came amid escalating tensions across the country between the black community and police. The races of the suspect and the officers were not immediately known.

It was the fourth high-profile deadly encounter in the United States involving police over the past two weeks. The violence has left 12 people dead, including eight police officers, and sparked a national conversation over race and policing.

President Barack Obama said the slayings were attacks "on the rule of law and on civilized society, and they have to stop." He said there was no justification for violence against law enforcement and that the attacks are the work of cowards who speak for no one.



  • BBuqHH4.img
  • BBuqOKN.img
  • BBuqI1p.img
  • BBuqTJx.img
  • BBuqRmb.img

1/15 SLIDES © AP Images
Three police officers were shot dead and three others injured by armed suspects less than a mile from police headquarters in Baton Rouge, Louisiana, U.S. on July 17, 2016. According to reports, one of the suspects is dead and two other are believed to be at large. Police officials are looking for anyone in full black or a mask. The residents have been asked to keep away from the scene of crime. The incident is seen as a revenge for the Alton Sterling and Dallas shootings that happened earlier this month.

(Pictured) Police guard the emergency room entrance of the medical center where wounded officers were brought for treatment.

The exact circumstances of the attack were unclear, and authorities did not discuss the gunman's motive or any relationship to the wider police conflicts.
The shooting began at a gas station on Airline Highway. The suspect's body was next door, outside a fitness center. Police said they were using a specialized robot to check for explosives near the body.

A law enforcement official familiar with the investigation said the shooter was identified as Gavin Long but had no details. The official spoke on condition of anonymity because the official was not authorized to discuss an ongoing investigation.

Gov. John Bel Edwards rushed to the hospital where the shot officers were taken.

"There simply is no place for more violence," Edwards said. "That doesn't help anyone. It doesn't further the conversation. It doesn't address any injustice perceived or real. It is just an injustice in and of itself."

A witness told television station WAFB that he saw a masked man in black shorts and shirt running from the scene where the three officers were killed.

Brady Vancel said the man looked like a pedestrian running with a rifle in his hand, rather than someone trained to move with a rifle.

Vancel said he had gone to work on a flooring job near the gas station when he heard semi-automatic gunfire and perhaps a handgun. He saw a man in a red shirt lying in an empty parking lot and "another gunman running away as more shots were being fired back and forth from several guns."

On Sunday afternoon, more than a dozen police cars with lights flashing were massed near a commercial area of car dealerships and chain restaurants on the highway. Police armed with long guns stopped at least two vehicles driving away from the scene and checked their trunks.

BBuq8Cq.img
© Mark Wallheiser/Getty Images Baton Rouge shooting That area was about a quarter of a mile from a gas station, where almost nightly protests had been taking place.

Five officers were rushed to Our Lady of the Lake Regional Medical Center, hospital spokeswoman Ashley Mendoza said.

Of the two who survived the shooting, one was in critical condition and the other was in fair condition. Multiple police vehicles were stationed at the hospital, and a police officer with a long gun was blocking the parking lot at the emergency room.

One officer was sent to Baton Rouge General Medical Center and was being treated for non-life-threatening injuries, spokeswoman Meghan Parrish said.

Officers and deputies from the Baton Rouge Police Department and East Baton Rouge Sheriff's Office were involved, Hicks said.

Each of the officers was married and had a family, East Baton Rouge Parish Sheriff Sid Gautreaux said.

Police-community relations in Baton Rouge have been especially tense since the death of 37-year-old Alton Sterling, a black man killed by white officers July 5 after a scuffle at a convenience store. The killing was captured on widely circulated cellphone video.

It was followed a day later by the shooting death of another black man in Minnesota, whose girlfriend livestreamed the aftermath of his death on Facebook. The next day, a black gunman in Dallas opened fire on police at a protest about the police shootings, killing five officers and heightening tensions even further.

Thousands of people have protested Sterling's death, and Baton Rouge police arrested more than 200 demonstrators.

Sterling's nephew condemned the killing of the three officers.

Terrance Carter spoke Sunday to The Associated Press by telephone, saying the family just wants peace.

"My uncle wouldn't want this," Carter said. "He wasn't this type of man.

Michelle Rogers said Sunday the pastor at her church had led prayers Sunday for Sterling's family and police officers, asking members of the congregation to stand up if they knew an officer.

Rogers said an officer in the congregation hastily left the church near the end of the service, and a pastor announced that "something had happened."

"But he didn't say what. Then we started getting texts about officers down," she said.

Rogers and her husband drove near the scene, but were blocked at an intersection closed down by police.

"I can't explain what brought us here," she said. "We just said a prayer in the car for the families."
 
Leo tena kama ilivyokuwa wiki iliyopita kule Dallas, leo askari watatu wameuawa huko Baton Rouge.. Mmoja ya aliyeuawa ni askari mweusi anayefahamika kama Montrell Jackson. Huu ni ujumbe ambao askari huyo aliuandika kwenye Account yake ya Facebook siku chache zilizopita. Rafiki yangu Nyani Ngabu anasema US hakuna ubaguzi..

Hahaaa wewe jamaa una matatizo sana. Kwa vile umenipingisha urafiki sina budi kukubali tu.

Lakini una tatizo moja kubwa. Huwa unanizushia mambo ya uongo sana.

Kwa lile jina lako jingine ushanizushia kuwa mimi jina langu ni Richard Mugizi [kwa taarifa yako hakuna mtu wa JF anayejua jina langu la ukweli. Hakuna aliyewahi kuona kitambulisho changu wala cheti changu cha kuzaliwa]. Ulikosea.

Ukaja na uzushi mwingine kuwa eti mimi ninadai nina ma apartments sijui Masaki na Msasani. Nikakupa changamoto uonyeshe niliposema hivyo ukashindwa.

Haya, leo umekuja na mpya kwa kutumia jina jingine. Sasa basi, ili kukata tu mzizi wa fitna, unaweza kunionyesha niliposema kuwa "US hakuna ubaguzi"?

Otherwise mambo mengine niaje Mangi? Kwema huko uliko? Totoz vipi...?
 
Niko Benguela province mkuu..

Safi sana, Benguela ni mji wenye historia kubwa sana kuhusu watumwa.

Wabrazil na waCuba weusi kizazi chao cha watumwa kilitokea hapo Benguela na ndani zaidi kuelekea Zambia.

Si unaona pana reli hapo ndiyo ilitumika kusafirisha mazao ya biashara kutoka Copperbelt hadi Lobito. Enzi hizo karne ya 20 na wareno.

Kuna binti mmoja anaitwa Leila Luliana da Costa Vieira Lopes alishinda Miss Universe mwaka 2011 na alizaliwa hapo hapo Benguela

Da! haya mkuu.
 
Back
Top Bottom