FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,336
- 13,656
Nikitafuta nikaleta hapa kama kawaida yako utaruka na ujanja mwingi..Hahaaa wewe jamaa una matatizo sana. Kwa vile umenipingisha urafiki sina budi kukubali tu.
Lakini una tatizo moja kubwa. Huwa unanizushia mambo ya uongo sana.
Kwa lile jina lako jingine ushanizushia kuwa mimi jina langu ni Richard Mugizi [kwa taarifa yako hakuna mtu wa JF anayejua jina langu la ukweli. Hakuna aliyewahi kuona kitambulisho changu wala cheti changu cha kuzaliwa]. Ulikosea.
Ukaja na uzushi mwingine kuwa eti mimi ninadai nina ma apartments sijui Masaki na Msasani. Nikakupa changamoto uonyeshe niliposema hivyo ukashindwa.
Haya, leo umekuja na mpya kwa kutumia jina jingine. Sasa basi, ili kukata tu mzizi wa fitna, unaweza kunionyesha niliposema kuwa "US hakuna ubaguzi"?
Otherwise mambo mengine niaje Mangi? Kwema huko uliko? Totoz vipi...?
Lakini vipi, hayo mauaji unayaongeleaje?? Ni majuzi tu yule kijana aliuawa na askari kwenye huo mji..