Baton Rouge: 'Three US police officers shot'

Baton Rouge: 'Three US police officers shot'

Safi sana, Benguela ni mji wenye historia kubwa sana kuhusu watumwa.

Wabrazil na waCuba weusi kizazi chao cha watumwa kilitokea hapo Benguela na ndani zaidi kuelekea Zambia.

Si unaona pana reli hapo ndiyo ilitumika kusafirisha mazao ya biashara kutoka Copperbelt hadi Lobito. Enzi hizo karne ya 20 na wareno.

Kuna binti mmoja anaitwa Leila Luliana da Costa Vieira Lopes alishinda Miss Universe mwaka 2011 na alizaliwa hapo hapo Benguela

Da! haya mkuu.
maxresdefault.jpg

Miss-Universe.3.jpg


Karibu mkuu, inabidi tutafute riziki huku tu...maana huko Bongo, huyo jamaa bwana "Kazi Kazi"ana wivu na maendeleo ya watu binafsi....
 
Shukrani mkuu.

Ukulikuwa na utata sana juu ya hilo taji la Miss Universe na huyu binti.

Kuna jamaa mmoja anaitwa Makono Charles yeye ni promoter yaani kama Hashim Lundenga fulani hivi, alihangaika na kupigania khasa ili binti ashiriki hayo mshindano.

Piga kazi mkuu maisha popote pale.

Bongo waachie wapiganaji wengine.
 
Safi sana. Na wao wajue machungu ya kutandikwa risasi.
 
Kwa sasa Marekani inaweza kujikuta inazalisha magaidi wa kupinga kubaguliwa, na jamii ya watu ikijiisi kubaguliwa na kuteswa ni raisi kutumiwa na watu wabaya.
 
Back
Top Bottom