Baton Rouge: 'Three US police officers shot'

Baton Rouge: 'Three US police officers shot'

Sasa naona weusi wameamua kuanza kuwawinda askari polisi wazungu. Hii ni hatari sana maana mahali popote pale kunaweza kukatokea mauaji ya polisi wazungu na wao si ajabu wanaweza sasa kutumia hii kitu 'nilihofia usalama wangu' kuongeza mauaji ya weusi wasio na hatia. Hali inazidi kuwa mbaya na hii Republicans wanaweza kuitumia vizuri sana katika kampeni za uchaguzi na hivyo kumshinda Hillary na kubaki na majority kwenye senate na congress.


...Have same thoughts kuhusu uchaguzi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Si nchi zote za Ulaya zenye matatizo kama hayo, mbona Uingereza ni nadra sana kutokea matatizo kama hayo!!


Mkuu kwa issue ya friction btn police na raia, Uingereza sio police hawabebi silaha? (nisahihishe kama nimekosea) pengine inapunguza matatizo kama haya.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Haya mambo walikuwa wakiyaona kwa wenginee nchi nyingine waliunda kila aina ya magenge ya uahlifu uuwaji na ukatili ,walifadhili groups of terrorist dunia nzima,sasa mungu anataka kuwalipa kwa waliyoyafanya sasa groups zote ziko ndani ya nchi yao kazi kwao,Haya kama yanawauma sana basi wajue kwa wenzao wameteseka miaka vizazi na vizazi kwa ajili yao
 
Niliona artcle nzuri sana kwenye gazeti la The Guardian ambayo ilifanya comparison ya vifo vya wetu weusi US mikononi mwa ,na nchi nyingine za dunia ya kwanza ikiwemo Japan. Nilitaka kuiweka hapa lakini siioni tena. Ngoja nijaribu kuitafuta tena ili niiweke hapa.

Mkuu kwa issue ya friction btn police na raia, Uingereza sio police hawabebi silaha (nisahihishe kama nimekosea) pengine inapunguza matatizo kama haya. This's crazy.
 
Very true kui inatisha sana aisee. Sasa hivi weusi watazidi kuhofia maisha yao dhidi ya polisi wenye nia mbaya na watu weusi ambao mara nyingi huwa hawana hatia yoyote ile.


Yeah, wanaweza ku take advantage kutoka haya matukio so easily.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ilianza palestine, ikaja middle east na sasa USA kwenyewe! Watu wakiminywa na kubaguliwa sana lazima watafute tu jinsi ya kujitetea na kuonyesha hisia zao
 
Na hivi silaa Marekani ni kama karanga vile na hili bifu la weusi na polisi ,sijui yetu macho tu
 
365D7A8500000578-3694441-image-a-39_1468771629019.jpg


Alton Sterling akiwa mikononi mwa polisi kabla ya kuuwawa.


Inabidi kwenda deep, kuliko ku paint tu picha kama hivi na kuleta matatizo zaidi.
 
Nyani Ngabu njoo huku upesi!

Kaa meza moja na wenzako kisha uniambie mmeafikia nini

I'm following closely.

Things are not as bad as some folks suggest.

It's very peaceful where I'm at.

Peace and quiet is our way of life and we love our men and women in blue.

They keep us safe.
 
Ni vita down town Baton Rouge.

ad_213185912.jpg


Update:
Watu wawili wenye silaha ndio waliohusika kuwafyatulia risasi askari polisi na inasemwa mmoja wao ni mwenye matatizo ya akili. Bado kujulikana kama ni kitendo cha kigaidi au namna ya kuwasilisha ujumbe fulani.

Update: Baton Rouge ndipo alipouwawa mmarekani mweusi Alton Sterling.

Update:
Msemaji wa polisi Casey Rayborn Hicks kutoka kituo cha polisi cha East Baton Rouge Sheriff’s Office anasema eneo la Airline Highway limefungwa na watu watafute utaratibu mwingine wa usafiri.

Update:
Polisi wametanda eneo kubwa la Baton Rouge ambapo watu wenye silaha wanadaikiwa kuwa wamejificha.

Update
: Idadi ya askari waliokufa sasa ni watatu, na waliopigwa risasi ni saba.

3500.jpg


Askari polisi wawili wameuwawa baada ya kubadilishana risasi na kikundi cha watu katika mji wa baron Rouge.

Habari zaidi kuendelea kuja, lakini polisi wengine watatu wamejeruhiwa vibaya na hali zao si nzuri.
Hapo mpaka upande mmoja uombe poo
 
Si nchi zote za Ulaya zenye matatizo kama hayo, mbona Uingereza ni nadra sana kutokea matatizo kama hayo!!
Ushakutana na jamaa flani wa Scotland ni wazungu ila wananyoa upara wana jina lao nimelisahau ,ama ukutane na hawa Wapolish wanaoishi Uk
 
Inabidi kwenda deep, kuliko ku paint tu picha kama hivi.

Nguvu kubwa sana imetumika kwani hakuna ushahidi kwamba Alton alikuwa ni tishio kwa hao maofisa wawili wa polisi.

Mpaka Alton anabinywa hapo chini pistol yake ilikuwa mfukoni na ukiifuatilia video iliyowekwa mitandaoni, inaonyesha mmoja wa askari hao wawili akiingiza mkono mfukoni mwa Alton baada ya kumpiaa risasi na kuichukua pistol hiyo.
 
Walipindua meza Wakati Obama anaweka bill ya kupitia upya sheria ya kumiliki silaha.

Sasa hivi wanageukana. Wasipochukua hatua mapema, hivi vita vitaanza kushika moto taratibu.

Blacks hawana cha kupoteza, hao polisi ndo wana cha kupoteza.
 
Back
Top Bottom