Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
Kwa Taatifa nilizonazo ni kwamba Batilda 'Yule aliebagwa Vibaya na Lema' ana mpango wa kufungua mashtaka kushinikiza apewe ubunge wa arusha mjini. Je ataweza?...............Wanamabadiliko kama Marando naamini wata-solve tatizo kama hili. Pipoooozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz...........!!!
Kwaheri Batilda............:israel:
Kwaheri Batilda............:israel: