quimby_joey
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 390
- 164
KAFULIA HUYO.....alikuwa mstari wa mbele sana kumshinikiza Spika amtoe ZITTO bungeni na apigwe adhabu kali...sasa abaki kutazama tu watu wakienda kutetea haki za wananchi wao.
Sio mbaya ajaribu tu kufungua hayo mashtaka labda atashinda kesi, hatuwezi kujua labda anajua atashinda. Maskini mama nasikia ana ka mimba kachanga akae akeleee kazaliwe vizuri tu jamani aache kuhangaika.
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Tuliomba Mungu amejibu.
Huyu mama ni mtu mwenye jazba sana. Namfahamu tangu akiwa pale Tabora Girls' na baadaye Mlimani. Ana hasira za haraka, na bila shaka amefikia huo uamuzi wa kwenda mahakamani kwa jazba tu. Hata kwa mumewe wa ndoa aliondoka kwa jazba tu na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine baada ya kutofautiana kidogo. Tena yule mumewe wa ndoa alikuwa amepanga kumfungilia kesi ya BIGAMY, sijui iliishia wapi?!
NOTE: <BIGAMY is the offence of marrying someone while you have a living spouse from whom no valid divorce has occurred>
KAFULIA HUYO.....alikuwa mstari wa mbele sana kumshinikiza Spika amtoe ZITTO bungeni na apigwe adhabu kali...sasa abaki kutazama tu watu wakienda kutetea haki za wananchi wao.
Huyu mama ni mtu mwenye jazba sana. Namfahamu tangu akiwa pale Tabora Girls' na baadaye Mlimani. Ana hasira za haraka, na bila shaka amefikia huo uamuzi wa kwenda mahakamani kwa jazba tu. Hata kwa mumewe wa ndoa aliondoka kwa jazba tu na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine baada ya kutofautiana kidogo. Tena yule mumewe wa ndoa alikuwa amepanga kumfungilia kesi ya BIGAMY, sijui iliishia wapi?!
NOTE: <BIGAMY is the offence of marrying someone while you have a living spouse from whom no valid divorce has occurred>
Sio mbaya ajaribu tu kufungua hayo mashtaka labda atashinda kesi, hatuwezi kujua labda anajua atashinda. Maskini mama nasikia ana ka mimba kachanga akae akeleee kazaliwe vizuri tu jamani aache kuhangaika.
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Tuliomba Mungu amejibu.
Rugemeleza nimeifurahia sana thread hii. Tunahitaji watu wenye moyo wa kizalendo kama wako. Kule kwetu Iringa Monica Mbega tumwemwambia asubiri U-RC wa kupewa na Mkwere.
Hakuna Marefu Yasiyokuwa na Ncha
Asiye kubali kushindwaaaaaaaaaaaaaaa........................................
apotelee mbali, kwanza hako kamama kana udini sana. Simpendi kuliko sijui nini sijui. Wana arusha msikubali.