Ndugu zangu hii ni vise versa, kumbe Lema ndo alikuwa anagoma kusaini matokeo, wametangaza sasa hivi kwamba Batilda ndo kashinda Arusha mjini.
kama slaa vile!! Upadri na siasa. Mtunza kondoo wa mungu kama politician, ila anafaa!!!!!!!!!!!!
Ndugu zangu hii ni vise versa, kumbe Lema ndo alikuwa anagoma kusaini matokeo, wametangaza sasa hivi kwamba Batilda ndo kashinda Arusha mjini.
Ndugu zangu hii ni vise versa, kumbe Lema ndo alikuwa anagoma kusaini matokeo, wametangaza sasa hivi kwamba Batilda ndo kashinda Arusha mjini.
Confirmed: Arusha Mjini vurugu za "kumwaga damu" ni imminent
Very good Arusha inawezekana kuna wazee wenye busara kuliko wale wa dar es salaam wa Jey key.
Lazima akubali tu. Lbda wangemwacha tuone atafanyaje- kugoma, kuandamana au....
Imekula kwake