Ata akigoma msindi ameshajulikana
Aache usenge huyo.. Kama alitaka ashinde yeye si angehamia chadema..asilete ukuda kabisa. Nasema asaini na akikataa ashikiriwe mkono alazimishwe kusaini,, aache ukuda huyo.
Nimepigiwa simu sasa hivi na mtu aliyepo Manispaa Arusha mjini anasema Batilda anakataa katakata kusaini fomu ya matokeo...Wakazi wa Arusha kwa ujumla wao wamezunguka ofisi hizo na wamejaa sana na kufunga barabara zote, hapapitiki kabisa kwa usafiri wa magari!
Nafuatilia zaidi.
Nimepigiwa simu sasa hivi na mtu aliyepo Manispaa Arusha mjini anasema Batilda anakataa katakata kusaini fomu ya matokeo...Wakazi wa Arusha kwa ujumla wao wamezunguka ofisi hizo na wamejaa sana na kufunga barabara zote, hapapitiki kabisa kwa usafiri wa magari!
Nafuatilia zaidi.
Yuko chali nini mkuu? Asaini fasta Doctor mzima anaogopa? Si akatafute kazi zingine huyu mama vipi?
Aache usenge huyo.. Kama alitaka ashinde yeye si angehamia chadema..asilete ukuda kabisa. Nasema asaini na akikataa ashikiriwe mkono alazimishwe kusaini,, aache ukuda huyo.
Ata akigoma msindi ameshajulikana
Mkuu si unajuwa wasomi wetu tena, hawataki kufanya kazi kwa profession zao tena wanataka SIASA tu !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nimepigiwa simu sasa hivi na mtu aliyepo Manispaa Arusha mjini anasema Batilda anakataa katakata kusaini fomu ya matokeo...
Aache usenge huyo.. Kama alitaka ashinde yeye si angehamia chadema..asilete ukuda kabisa. Nasema asaini na akikataa ashikiriwe mkono alazimishwe kusaini,, aache ukuda huyo.
Asubiri Dr Slaa atampa viti maalum....Yuko chali nini mkuu? Asaini fasta Doctor mzima anaogopa? Si akatafute kazi zingine huyu mama vipi?