Kuna mdada tuko ofisi moja analalamika kuwa kuna mtu alitoa matangazo Jamii Forums kuwa anauza vifaranga alimtumia hela ya hivyo vifaranga tangu Oktoba mwaka jana mpaka leo hajamtumia. Sanasana hata simu yake hataki kuipokea. Ngoja niwasiliane nae usije kuniliza.
Mtu mmoja!
Jamaa kama kipaji anacho! si mchezo!alafu anajijibu na kujikosoa mwenyewe... daaaah ni shiiiida
Wewe sio kitomar kweli? coz namba simu iliyopo kwenye uzi ni kama ya kitomari. na kama ni wewe nirudishie ile hela niliyokututumia ya bata bukini (mwaka na nusu umepita sasa)
someone is messing with my jf username and password.
1 MIMI SI KITOMARI YOYOTE SIO 1,2,3,..............,
2.SIJAWAHI KUPOKEA FEDHA YA MTU YOYOTE YULE NLIEFAHAMIANA NAE KUPITIA JAMII FORUMS KUFANYA NAE BIASHARA,
3. HUYO KITOMARI SIMFAHAMU
4. SIFANYI BIASHARA YA KUKU NA BATA, MI NI MUAJIRIWA
5. KUNA WATU WALI NI PM KUTAKA KUFANYA BIASHARA NA MIMI NILIKATAA KUA MIMI SIO KITOMARI ningekua kitomari au nna uhusiano nae nisingewakatalia.
6. NILIWAHI KUISHI ARUSHA KIPINDI CHA NYUMA LAKINI SIISHI ARUSHA KWA SASA
JAMANI CULBOY SIO KITOMARI WALA HAJAWAHI KUWA KITOMARI
HIYO SIYO NAMBA YANGU YA SIMU wala sijawahi kuwa na namba kama hiyo, kilichotokea ni kuwa account yangu ya jamiiforums ilikua merged na account nyingine( sijui kama bado iko merged au vipi kwa sasa).
nime andika complains nyingi kwa mods kuhusu hilo but cdhani kama limesharekebishwa, wapo watu wali ni PM kuhusu hayo mambo ya vifaranga sijui na mayai ila niliwajibu mimi sio kitomari na sina biashara kama hizo wakaelewa
hapo ndo nilipoanza kustuka kwamba account yangu imeingiliwa na mtu anaeitwa kitomari, sijawahi kufanya biashara na mtu yoyote wa jamii forums.
JAMANI MIMI SIO KITOMARI
Mr! Kitomari Napenda sana kila aina za hawa ndege wako tatzo ni eneo tu!