bata mzinga ukamlisha vizuri bwana poutry ni miezi 5 kuanza kutaga pia kuna rangi ambazo huwa na nyama nyingi mweupe huwa mrefu saana ila sio mnene kama mweusi
kwa utaalamu wako ni vitu ghani naeza kuwapa wakakua mapema mana nimevutiwa sana na hawa bata ukuaji wao natakarajia kua mjasiriamali mkubwa
bata mzinga ukamlisha vizuri bwana poutry ni miezi 5 kuanza kutaga pia kuna rangi ambazo huwa na nyama nyingi mweupe huwa mrefu saana ila sio mnene kama mweusi
mda mzuri kula bata ni miezi 12 anakuwa amekomaa moezi 5 ni mkubwa kwa umbo but a
nakuwa hajakomaa vizuri
uwalishe tu broiler stater kwa miezi 3 wa 4 uwape Growers mash na majani yanaitwa lussein watakua mapema sana
Luseni ipo nilipofugia arusha ilikua inapatikana km chuo cha mifugo tengeru mingi tu
ni majani mazuri sana kwa kuku na pia bata hata kwa kuku wanaotaga mayai ya kisasa huyafanya kuwa njano kabsa
ok! Nitakutafutia shaka ondoa nadhani hata kitomari anajua pakuyapatia haya majani kule arusha ni mengi sana