QUOTE=kitomari2;7238894]hakuna mheshimiwa
mahitaji ya soko nade nimakubwa mno inategemea tu na bidhaa yako ikoje nzuri walishe bata wako tu vyema kama nilivyokwambia
Hahaha
Tawary=nade=POUTRY FARM=Kitomary2 nakukuaminia sana kiongozi kwa kujua kucheza na akili za wajinga, wewe mjanja sana
Kuna mdada tuko ofisi moja analalamika kuwa kuna mtu alitoa matangazo Jamii Forums kuwa anauza vifaranga alimtumia hela ya hivyo vifaranga tangu Oktoba mwaka jana mpaka leo hajapata vifaranga anaambulia hadithi. Kwa sasa hata simu yake hataki kuipokea. Ngoja niwasiliane nae usije kuniliza.
Wewe sio kitomar kweli? coz namba simu iliyopo kwenye uzi ni kama ya kitomari. na kama ni wewe nirudishie ile hela niliyokututumia ya bata bukini (mwaka na nusu umepita sasa)Pata bata mzinga wakubwa kwa wadogo wanaokua na uwezo wakua na mpka kg 15 pia bata mzinga ni pambo nzuri la nyumbani kwa mawasiliano 0757- 662401
Ngoja tuzame kwenye ule mtambo wetu nimsome si unajua hii ni JF intelligence service....