Bata mzinga wakubwa kwa wadogo

Bata mzinga wakubwa kwa wadogo

culboy

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
526
Reaction score
48
Pata bata mzinga wakubwa kwa wadogo wanaokua na uwezo wakua na mpka kg 15 pia bata mzinga ni pambo nzuri la nyumbani kwa mawasiliano 0757- 662401
 
Kwa pambo nimzuri saana hata mayai yake ni matamu sana kitomari nitakupa order ya watoto wengine kaka
 
Mr! Kitomari Napenda sana kila aina za hawa ndege wako tatzo ni eneo tu!
 
Nimefanya utafiti wangu kwenye shopprite kubwa kubwa arusha daresalam karibuni zote nyama ya hawa bata inauzwa ghali sana na inatoka nje sio kwetu kwanini tusizalishe sisi hapa kwetu
 
Nimefanya utafiti wangu kwenye shopprite kubwa kubwa arusha daresalam karibuni zote nyama ya hawa bata inauzwa ghali sana na inatoka nje sio kwetu kwanini tusizalishe sisi hapa kwetu

we unaongelea bata tu, mbona hata nyama za Ngo'ombe, kuku zipo zinatoka South?
 
Naongelea vitu ambavyo havina gharama navinavyoeza kumuinua mjasiriamali wa chini ambavyo ni rahisi saana kufuga
 
Nimefanya utafiti wangu kwenye shopprite kubwa kubwa arusha daresalam karibuni zote nyama ya hawa bata inauzwa ghali sana na inatoka nje sio kwetu kwanini tusizalishe sisi hapa kwetu

nachojua nade hatupendelei kua wabunifu kabsa mwaka 2008 niliishi arusha nikapeleka hii kitu hoteli moja niliuza elfu 16 kwa kg 1 kuna haja ghani ya kufuga hata kuku bahati mbaya niliamishiwa dar nasasa nimerudia tena kufuga nilichukua mbegu kwa mr kitomari
 
nachojua nade hatupendelei kua wabunifu kabsa mwaka 2008 niliishi arusha nikapeleka hii kitu hoteli moja niliuza elfu 16 kwa kg 1 kuna haja ghani ya kufuga hata kuku bahati mbaya niliamishiwa dar nasasa nimerudia tena kufuga nilichukua mbegu kwa mr kitomari

ulipowafuga wanakua na uzto ghani?
 
Nataka kuujaribu pia kufuga kwa wingi sana kuna vitu vingi sana nimejifunza humu ndani
 
Mkuu naomba tutafutane mimi nina interest kubwa na hawa Ndege namba yangu ni 0715520060 please naomba nitafute ndugu.

nachojua nade hatupendelei kua wabunifu kabsa mwaka 2008 niliishi arusha nikapeleka hii kitu hoteli moja niliuza elfu 16 kwa kg 1 kuna haja ghani ya kufuga hata kuku bahati mbaya niliamishiwa dar nasasa nimerudia tena kufuga nilichukua mbegu kwa mr kitomari
 
Pata bata mzinga wakubwa kwa wadogo wanaokua na uwezo wakua na mpka kg 15 pia bata mzinga ni pambo nzuri la nyumbani kwa mawasiliano 0757- 662401

Mimi nipo Dar je hakuna usumbufu kwenye kunitumia?
 
Pata bata mzinga wakubwa kwa wadogo wanaokua na uwezo wakua na mpka kg 15 pia bata mzinga ni pambo nzuri la nyumbani kwa mawasiliano 0757- 662401

hawa wako wanakua na mda ghani kufkia kuchinjwa na kutaga?
 
QUOTE=kitomari2;7238894]hakuna mheshimiwa[/QUOTE]

Kuna mdada tuko ofisi moja analalamika kuwa kuna mtu alitoa matangazo Jamii Forums kuwa anauza vifaranga alimtumia hela ya hivyo vifaranga tangu Oktoba mwaka jana mpaka leo hajapata vifaranga anaambulia hadithi. Kwa sasa hata simu yake hataki kuipokea. Ngoja niwasiliane nae usije kuniliza.
 
Ni hao bwana lile la kweli watu hesema sjawai muona kitomari ila nampa order ya vifaranga na hunitumia bila tatzo lolote ivyo mimi namuunga sana mkono
 
Back
Top Bottom