Hivi bata mzinga wanaliwa au ni mapambo ya nyumba? na hao bata bukini wakoje?
CC. Kitomari
"Upo"
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Majogoo yako ni aina gani?
Kwa waingereza wanaiita royal meat...ni tamu kwa hakika. Kila December mimi na familia yangu tunachinja bata mzinga mmoja mkubwa na kumchoma tu. Kwa hakika ni tamu. Pia ni pambo zuri sana hasa madume yanavyojitanua ni kama tausi. Mayai yake ni rich kwa afya kuliko mayai ya kuku wa kienyejiHivi bata mzinga wanaliwa au ni mapambo ya nyumba? na hao bata bukini wakoje?
CC. Kitomari
Kwa waingereza wanaiita royal meat...ni tamu kwa hakika. Kila December mimi na familia yangu tunachinja bata mzinga mmoja mkubwa na kumchoma tu. Kwa hakika ni tamu. Pia ni pambo zuri sana hasa madume yanavyojitanua ni kama tausi. Mayai yake ni rich kwa afya kuliko mayai ya kuku wa kienyeji
Bwana Kitomari, nashukuru kwa maelezo. Kuna wakati nitataka bata maji, si bata bukini. naamini hao unao. kwa hapa Dar nami nauza madume makubwa ya bata mzinga 150,000.00 na mayai ya bata mzinga 5,000.00 mayai ya kanga weupe 1,000,00, kanga weupe wakubwa wanaotaga 35,000.00 (yanapatikana madume na majike), majogoo makubwa ya kuku chotara 20,000.00
Hongera mkuu
Samahani, mayai ya kanga weupe ni 1,000 siyo? nayahitaji sana. unapatikana maeneo gani dar