Bata mzinga Bata bukini

Bata mzinga Bata bukini

Mwaga bei siku hizi biashara matangazo. Tukijua bei twaweza vutiwa kukupigia na kukutafuta tusije kukutafuta vivocha vyetu vikaishia kusikia sauti yako nzuri bure!
 
waweza weka picha ya hao vifaranga wa bat mzinga ,siwajui kwakweli.Halafu pi ukitaja bei itatoa clue
 
Mwaga bei siku hizi biashara matangazo. Tukijua bei twaweza vutiwa kukupigia na kukutafuta tusije kukutafuta vivocha vyetu vikaishia kusikia sauti yako nzuri bure!

miezi 2 elifu 25 miezi 3 elifu 30
 
Pata bata mzinga wenye kukua haraka na wenye kuvumilia magonjwa pia wanauwezo wa kua mpk na kg 15 bata bukini wanapatikana karibu 0757662401

Mkuu kitomari2,
unaweza kuedit tangazo lako na kuweka detailz zote zinazoulizwa huko chini, simu peke yake bila maelezo ya kutosha inakuwa haina maana

eleza unapatikana wapi
bei ya hao ndege kulingana na umri wao
nakadhalika
 
Last edited by a moderator:
Sema bei, na punguzo ni sh. ngapi?
 
I,m very interesting story ni pm.na bei weka buki na mzinga..kama vp nipe bei ya mayai kama unauza.
 
I,m very interesting story ni pm.na bei weka buki na mzinga..kama vp nipe bei ya mayai kama unauza.

yai la bata mzinga ni elfu tano bata bukini elfu 10
 
Huyu kitomari namkubali sana anauza vitu vya ukweli na bei nzuri. Mwaka jana nilinunua bata mzinga wawili na akanisafirishia bure kutoka Arusha hadi Dar. Mkuu nitakutafuta nahitaji wengine wawili.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hivi bata mzinga wanaliwa au ni mapambo ya nyumba? na hao bata bukini wakoje?

CC. Kitomari
 
Huyu kitomari namkubali sana anauza vitu vya ukweli na bei nzuri. Mwaka jana nilinunua bata mzinga wawili na akanisafirishia bure kutoka Arusha hadi Dar. Mkuu nitakutafuta nahitaji wengine wawili.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

karibu sana brother
 
Hivi bata mzinga wanaliwa au ni mapambo ya nyumba? na hao bata bukini wakoje?

CC. Kitomari

bata mzinga ni pambo pia anatupatia chakula kama mayai pia ana nyama nyingi dume anakua mpk na kg 15
 
Back
Top Bottom