we jamaa ina maana hujawahi hata kusikia tu kwenye mitandao kitu inaitwa "sauli", au unafanya utani. wazee wa scania brand new na benz.Habari ndugu zangu wanajamiiforum napenda kuuliza je ni kampuni gani yenye bus zuri kutoka dar kwenda Mbeya na linafika Mbeya muda gani.
Ningependa kujua lodge nzuri pia kwa ajili ya malazi ya usiku mmoja 25000-30000 pawe na utulivu
ila hawa jamaa jana yake usinywe sana maji kwasababu wanasimama maeneo machache sana, unaweza kubana mkojo toka morogoro hadi Mafinga. wazee hawapandi, na hata wakatisha tiketi wakiona mzee kama anaonekana ana kisukari fulani wanasema ticket zimeisha kwasababu hawataki kusimamasimama njiani, na hiyo ndio inawafanya wawahi kufika. saa 18:30 wapo uyole. wakati wengine wanafika saa mbili usiku.Sauli nauli ni 44000
Unataka kusafiri au mashauzi tu. Mkiwa kwenye key board mnajifanya matawi ya juu kumbe upuzi tu.Luxury yake ikoje hasa ndani?sifa za sauli nasikia ni mwendo kasi kwangu sio poa na je nauli yao kiasi gani na ofisi ziko wapi ukiondoa kule magufuli?
mzee, tunaishi duniani watu wa sampuli tofauti, levels tofauti, na uwezo tofauti. trust me, majority ya watu waliopo humu jf, wengi wakisafiri wanalala lodge za 20 - 30. hao ni middle class wa Kitanzania (sio wa ulaya). binafsi nikisafiri nalala lodge za kiwango hicho.Unataka kusafiri au mashauzi tu. Mkiwa kwenye key board mnajifanya matawi ya juu kumbe upuzi tu.
Unaulizia lodge/quest ya 25-30 elfu badala ya kuuliza ya laki 1 na kuendelea???
We ni muuza chips fulani hivi inaonyesha.
Hili basi moja tu limekuwa maarufu kuliko mabasi yote Tanzania.achana izo takataka, chukua DPK 711, Golden Deer hutajutia
chini ya kamanda Rama behind the wheel
We fala unaona wauza chips hawana kuliko we unapelekewa moto sio?kenge maji mkosa akili nilale guest ya laki ili iweje na nigundue kima kabisaUnataka kusafiri au mashauzi tu. Mkiwa kwenye key board mnajifanya matawi ya juu kumbe upuzi tu.
Unaulizia lodge/quest ya 25-30 elfu badala ya kuuliza ya laki 1 na kuendelea???
We ni muuza chips fulani hivi inaonyesha.
Achana na pimbi huyo nimependa Imani nimefika na nimelala hapa kwa 20 na yes ni very fine na kesho nafanya mambo yangu bila shidamzee, tunaishi duniani watu wa sampuli tofauti, levels tofauti, na uwezo tofauti. trust me, majority ya watu waliopo humu jf, wengi wakisafiri wanalala lodge za 20 - 30. hao ni middle class wa Kitanzania (sio wa ulaya). binafsi nikisafiri nalala lodge za kiwango hicho.
Afu huwa hakuna logde ya laki hiyo labda ni hotel we pungaone kama ulilala lodge ya laki ujue b*sha wako na we mlipigwaUnataka kusafiri au mashauzi tu. Mkiwa kwenye key board mnajifanya matawi ya juu kumbe upuzi tu.
Unaulizia lodge/quest ya 25-30 elfu badala ya kuuliza ya laki 1 na kuendelea???
We ni muuza chips fulani hivi inaonyesha.
Wapo njia ya kondoaHivi wale JM Luxury walifia wapi?
Mmmh..!Wapo njia ya kondoa
Ubungo shekilangoOfisi zao ziko wapi na je nauli yao shilingi ngapi?
Hakuna lodge ya laki moja.Tofautisha lodge na hotelUnataka kusafiri au mashauzi tu. Mkiwa kwenye key board mnajifanya matawi ya juu kumbe upuzi tu.
Unaulizia lodge/quest ya 25-30 elfu badala ya kuuliza ya laki 1 na kuendelea???
We ni muuza chips fulani hivi inaonyesha.
Kwa usafi hapo big no,Niko mbeya boss jamaa wana mji msafi na hewa poa sana sa sijui hii ni kazi ya sugu au tulia ila mko poa
Mkuu big no kwa nini nimelala maeneo ya stand kule karibu na jengo la nhif kisha nimerudi nimekuja huku mbalizi mbona kote ni kusafi au uchafu uko wapiKwa usafi hapo big no,
But kwa khali ya hewa safi nyanda za juu kuko pouwa sana.