Basi zuri kutoka Dar kwenda Mbeya

Basi zuri kutoka Dar kwenda Mbeya

Panda Dar Laxuary au Kilimanjaro Exp zote nauli ni 44k hutajuta kwa huduma bora kabisa. Unaweza kukata hata kwa internet service bila kupoteza muda wa kwenda ofisini kwa Shekirango. Ningejua unaelekea Mbeya sehemu gani ingekuwa rahisi kukwambia either ushukie UYOLE, NANENANE au Mbeya town centre (UHINDINI) na kukuelekeza lodges za ukweli that will satisfy your soul for a night over.
 
Kama una taka kufika mapema kuanzia saa(12-1 jioni)
basi panda
sauli luxury bus nauli 44k
ama panda basi za Newforce /golden deer nauli zao ni 40k

kama huna haraka ya kuwahi kuanzia saa1:30-2:30 uko
basi panda
imani plus
kilimanjaro
al saedy

Kama ishu ni Nauli unapenda cheap we kamata
Majinjah Special Nauli 30k
hawa muda wa kufika hua hawatabiriki
kuna siku wanawahi hata kua wa kwanza ama wanachelewa kiasi cha kukukera ....
 
Karibu Mbeya mkuu Bus nzuri Panda Imani plus hiyo imetulia sana nauli in 50_000 Hivi lodge nzuri zipo nyingi sana ukija ntakupeleka hahahaha
 
mkuu nina kauzoefu kidogo na mbeya kuhusu usafiri maana naendaga huko mara kwa mara nakupa ushauri wa bure, Panda bus la kampuni ya Imani Plus.

*sifa zao:

--hawakimbii sana
--wanasikiliza wateja wao
--kufika salama ni 99%
--nauli 40k

*kuhusu sehemu za kulala wageni Guest Houses na Hotel sina uzoefu nazo, huwa na fikia kwa mama yangu mdogo Ilomba.

-- Ukirudi Dar urudishe shukrani mkuu nimekupa ABCD's za Mbeya
View attachment 2028411
Nashukuru sana mkuu nitafanyia kazi ushauri wako
 
Panda Dar Laxuary au Kilimanjaro Exp zote nauli ni 44k hutajuta kwa huduma bora kabisa. Unaweza kukata hata kwa internet service bila kupoteza muda wa kwenda ofisini kwa Shekirango. Ningejua unaelekea Mbeya sehemu gani ingekuwa rahisi kukwambia either ushukie UYOLE, NANENANE au Mbeya town centre (UHINDINI) na kukuelekeza lodges za ukweli that will satisfy your soul for a night over.
Asante mkuu nimechukua ushauri wako sehem nayoenda ni Mbeya mjini kabisa
 
Kama una taka kufika mapema kuanzia saa(12-1 jioni)
basi panda
sauli luxury bus nauli 44k
ama panda basi za Newforce /golden deer nauli zao ni 40k

kama huna haraka ya kuwahi kuanzia saa1:30-2:30 uko
basi panda
imani plus
kilimanjaro
al saedy

Kama ishu ni Nauli unapenda cheap we kamata
Majinjah Special Nauli 30k
hawa muda wa kufika hua hawatabiriki
kuna siku wanawahi hata kua wa kwanza ama wanachelewa kiasi cha kukukera ....
Nataka niwahi kufika maana sina uenyeji nauli sio shida 44 ni affordable
 
Habari ndugu zangu wanajamiiforum napenda kuuliza je ni kampuni gani yenye bus zuri kutoka dar kwenda Mbeya na linafika Mbeya muda gani.

Ningependa kujua lodge nzuri pia kwa ajili ya malazi ya usiku mmoja 25000-30000 pawe na utulivu
kama unapenda mabasi ya kudamka uwahi panda Sauli au Happy Nation lakini kama muda mchana panda Goldendeer hii hakuna kulala mbeya moja nauli ni 42000 -45000 iko mpaka ya jioni mpaka Tunduma
 
Habari ndugu zangu wanajamiiforum napenda kuuliza je ni kampuni gani yenye bus zuri kutoka dar kwenda Mbeya na linafika Mbeya muda gani.

Ningependa kujua lodge nzuri pia kwa ajili ya malazi ya usiku mmoja 25000-30000 pawe na utulivu
 
Back
Top Bottom