Basi zuri kutoka Dar kwenda Mbeya

Basi zuri kutoka Dar kwenda Mbeya

Lodge nzuri ukiwa standa pale tokea geti laupande wa kituo Cha polisi stand, ukishatoka getini kunja kushoto, uliza ten commandments! Inakufaaa

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mkuu asante sana ila hawa ten commandments si kama nikitoka nikarudi na mtoto wa tukuyu wataulizia chet (joke)
 
Ofisi za Imani plus ziko wapi kwa dar ukiondoa kule magufuli?
 
mkuu nina kauzoefu kidogo na mbeya kuhusu usafiri maana naendaga huko mara kwa mara nakupa ushauri wa bure, Panda bus la kampuni ya Imani Plus.

*sifa zao:

--hawakimbii sana
--wanasikiliza wateja wao
--kufika salama ni 99%
--nauli 40k

*kuhusu sehemu za kulala wageni Guest Houses na Hotel sina uzoefu nazo, huwa na fikia kwa mama yangu mdogo Ilomba.

-- Ukirudi Dar urudishe shukrani mkuu nimekupa ABCD's za Mbeya
View attachment 2028411
Mwelekeze akafikie kwa mama yako mdogo, huo ndiyo udugu wetu watanzania na wanaJF.
 
kama una roho ya Paka panda MAJINJAH
hakuna tuta wala shimo, yeye ni weseeee tu full kunyoosha goti

Kama unataka kukimbizwa kama gari za gazetti ,sauli na golden deer.

ila ukitaka kuenjoy safar huku mnasimama sana na kula sana mixer bia panda gari za IT apo mbezi (Tafuta it gari kaliii zinazoelekea zambia)
 
kama una roho ya Paka panda MAJINJAH
hakuna tuta wala shimo, yeye ni weseeee tu full kunyoosha goti

Kama unataka kukimbizwa kama gari za gazetti ,sauli na golden deer.

ila ukitaka kuenjoy safar huku mnasimama sana na kula sana mixer bia panda gari za IT apo mbezi (Tafuta it gari kaliii zinazoelekea zambia)
Simshauri apande gari za IT sababu si salama kama anapenda kuishi, sababu hujui gari liko katika hali gani, inawezekana tairi zimeshaexpire alafu wengi wa madereva wa IT siyo madereva wazuri na ukizingatia unapita kwenye highway ambapo umakini mkubwa unahitajika
 
Nawashukuru wote kwa taarifa nzuri sana ambazo zimenisaidia kupata usafiri kwa urahisi binafsi nimekata Imani plus na keeho kwa mapenzi ya Mungu nitalala mbeya na kwa mda nitakuwa hapo
 
Back
Top Bottom