Basi zuri kutoka Dar kwenda Mbeya

Basi zuri kutoka Dar kwenda Mbeya

Sema sipandi mm,, wenzako inajaza na zinaondoka mbili na kurudi mbili na nauli ni 44,000/=
Mwacheni wivu jamani!!!!
Jamaa ana wivu wa kike haoni hata bei yao tofauti lakini bado wanapeta na wanajaza daily.
 
Luxury yake ikoje hasa ndani?sifa za sauli nasikia ni mwendo kasi kwangu sio poa na je nauli yao kiasi gani na ofisi ziko wapi ukiondoa kule magufuli?

Bongo hakuna basi luxury, mabasi yote ni chombo cha usafiri tu...

We kamata ndinga yoyote itayokufikisha unapoelekea...

Tena kwa huko Mbeya unaweza ukakamata IT ukafika kwa bei ndogo kuliko hayo mabasi wanayogawa kisukari (soda, pipi)
 
Bongo hakuna basi luxury, mabasi yote ni chombo cha usafiri tu...

We kamata ndinga yoyote itayokufikisha unapoelekea...

Tena kwa huko Mbeya unaweza ukakamata IT ukafika kwa bei ndogo kuliko hayo mabasi wanayogawa kisukari (soda, pipi)
Imani wamejitahidi japo ndio sio luxury!
 
Luxury yake ikoje hasa ndani?sifa za sauli nasikia ni mwendo kasi kwangu sio poa na je nauli yao kiasi gani na ofisi ziko wapi ukiondoa kule magufuli?

Sauli Luxury Bus
Nauli ni 47k



IMG_7047.jpg

IMG_7048.jpg

IMG_7044.jpg
 
We fala unaona wauza chips hawana kuliko we unapelekewa moto sio?kenge maji mkosa akili nilale guest ya laki ili iweje na nigundue kima kabisa
Mashauzi tu, ulale ya laki ili ugundue makalio. Baba yako hata tairi ya vitz hajawahi kumiliki eti unaulizia gari.
 
mzee, tunaishi duniani watu wa sampuli tofauti, levels tofauti, na uwezo tofauti. trust me, majority ya watu waliopo humu jf, wengi wakisafiri wanalala lodge za 20 - 30. hao ni middle class wa Kitanzania (sio wa ulaya). binafsi nikisafiri nalala lodge za kiwango hicho.
Afadhali wewe umeongea karibu na ukweli tofauti na wengine
 
Nawashukuru wote kwa taarifa nzuri sana ambazo zimenisaidia kupata usafiri kwa urahisi binafsi nimekata Imani plus na keeho kwa mapenzi ya Mungu nitalala mbeya na kwa mda nitakuwa hapo
Imani plus sh ngap nauli mkuu
 
Imani plus sh ngap nauli mkuu
mzee nenda sauli, achana na izo vitu zingine, nishapanda mabasi yote hayo mara nyingi tu. na sauli sio kwamba linakimbia no, bali ana vituo vichache, mwenye kisukari mle hawapakizi watakuambia tiketi zimeisha, wanaogopa kusimamasimama njiani kukojoa. ukikojoa dsm, wakikusaidia sana watasimama msamvu na baada ya hapo ni Mafinga, then Mbeya wanaingia saa 18:00hrs. wakati huo mengine yapo huko makambako sijui chimala.
 
mzee nenda sauli, achana na izo vitu zingine, nishapanda mabasi yote hayo mara nyingi tu. na sauli sio kwamba linakimbia no, bali ana vituo vichache, mwenye kisukari mle hawapakizi watakuambia tiketi zimeisha, wanaogopa kusimamasimama njiani kukojoa. ukikojoa dsm, wakikusaidia sana watasimama msamvu na baada ya hapo ni Mafinga, then Mbeya wanaingia saa 18:00hrs. wakati huo mengine yapo huko makambako sijui chimala.
Nashukuru kwa hilo, pia ningependa kujua nauli ya sauli na iman ili nijipime koz niko na binti hapa plus hali ya uchumi mkuu
 
Nashukuru kwa hilo, pia ningependa kujua nauli ya sauli na iman ili nijipime koz niko na binti hapa plus hali ya uchumi mkuu
imani itakuwa kati ya 35 - 40, wakati sauli ni 40 - 45. sauli mabasi yake yote ni scania mpyaa toka uswiss na Benz za ujerumani, wakati Imani ni mchina.
 
Back
Top Bottom