Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,336
Lizzy,naomba nikiri upendo wangu kwako,mmmmmwwwwaaaàaaaaaa!!!!
Ntumeeeeeeee.......wapi Nyani Ngabu????
Last edited by a moderator:
Lizzy,naomba nikiri upendo wangu kwako,mmmmmwwwwaaaàaaaaaa!!!!
Yummy . . .hujambo bibie?Ntumeeeeeeee.......wapi Nyani Ngabu????
akina dada, akina mama, akina bibi na wengineo wote wenye jinsia -ke- hii ni dedication yangu kwenu na fursa ya kum-kiss na kum-chum yeyote umpendaye..
akina baba, akina kaka, machalii na ma-arifu,, pia mnaweza kutumia fursa hii kuwa-chum na kuwa-kiss sukari zenu za roho..
btw: Any kiss to tanmo (of coz from a lady) will be appreciated..
mapendo.
tanmo