Basi la Superfeo lapata ajali Songea

Mkuu vile vyoo vya nyamagana ilikuwa balaa. Unapoingia ni lazima kama una koti uache nje. Mi ndovu ndo lilikuwa kimbilio langu
Unakumbuka yale maandazi meusi mkuu, na mikate yake ya kikinga
 
Wataalam wa usiku wanasema pana vita kubwa Kati ya feo na ilyana
 
Unakumbuka yale maandazi meusi mkuu, na mikate yake ya kikinga
Yale maandazi tulikuwa tunayaita katala. Usipokuwa na hela ya katala ni mwendo wa kupiga mluzi tu. Kulikuwa na akina mama maarufu wa kuuza katala akiwemo mama Tom sijui kama bado yupo pale.
 
Hyo Alifariki jina lake nani.. Mana Kuna Kondakt mmoja binti hivi wa ruti hyo mby to song nanuelewaga sana.. Ila pole kwa majeruhi N RIP kondakta
 
Back
Top Bottom