Mitha
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 704
- 1,010
2001 mkuuNJOSS umepita mwaka gan kuu. Mi nimeishi dom2 miaka yote mi4. Ndovu, nyamagana ndo maeneo maarufu
2001 mkuuNJOSS umepita mwaka gan kuu. Mi nimeishi dom2 miaka yote mi4. Ndovu, nyamagana ndo maeneo maarufu
Mkuu vile vyoo vya nyamagana ilikuwa balaa. Unapoingia ni lazima kama una koti uache nje. Mi ndovu ndo lilikuwa kimbilio languNJOSS umepita mwaka gan kuu. Mi nimeishi dom2 miaka yote mi4. Ndovu, nyamagana ndo maeneo maarufu
Bilà kusahàu chuo cha maendeleo pale ng'amboSahihi kabisa mkuu, na disko ilikua Turbo , Majirani zetu mpechi
Dah, vutia sana mibangi kwenye kale kamsitu kao alaf kwa bondeni tunaenda kupiga tete ( ulanzi)Bilà kusahàu chuo cha maendeleo pale ng'ambo
Unakumbuka yale maandazi meusi mkuu, na mikate yake ya kikingaMkuu vile vyoo vya nyamagana ilikuwa balaa. Unapoingia ni lazima kama una koti uache nje. Mi ndovu ndo lilikuwa kimbilio langu
Ivo eenhhWataalam wa usiku wanasema pana vita kubwa Kati ya feo na ilyana
Yale maandazi tulikuwa tunayaita katala. Usipokuwa na hela ya katala ni mwendo wa kupiga mluzi tu. Kulikuwa na akina mama maarufu wa kuuza katala akiwemo mama Tom sijui kama bado yupo pale.Unakumbuka yale maandazi meusi mkuu, na mikate yake ya kikinga
Nmekupokea Ukiwa fom Nyoya au ndo umetoka 2001?2001 mkuu
mshana jr njoo utupie neno hapa. maana wewe kwenye udadavuzi wa picha ulishashindikana.Dalili za kupotea utajiri...
Gari imejigawa vipandevipande kitu kisichocha kawaida
2001 ndo form 1 mkuuNmekupokea Ukiwa fom Nyoya au ndo umetoka 2001?
Mi nmepita 2000 - 2003
Itabid uje chemba tufahamiane mkuu, nmekupokea pale2001 ndo form 1 mkuu
Waliotakiwa wameondokamshana jr njoo utupie neno hapa. maana wewe kwenye udadavuzi wa picha ulishashindikana.
Sio washirikia tu ni watu wengi wao wenye roho mbaya mi napata tabu sana now nipo huku kwao makete vumbi tuNasikia wa wakinga ni washirikina sanaaa
Wako vizuri sana eneo hilo.
New force ndio yenyewe Dembani usafiri niliokuwa nauamini sana kila niendapo songea kutoka dar....huwa wana mwendo mzuri sana barabarani.
nadhan ni bahati mbaya tu
ni boy sio girlHyo Alifariki jina lake nani.. Mana Kuna Kondakt mmoja binti hivi wa ruti hyo mby to song nanuelewaga sana.. Ila pole kwa majeruhi N RIP kondakta
Pole mkuuSio washirikia tu ni watu wengi wao wenye roho mbaya mi napata tabu sana now nipo huku kwao makete vumbi tu