Umenena vema mkuu Chikira na uzuri kwa hii ya Jana kuna ushahidi kabisa dereva alikua anachezea cm wakati wa ajali inatokeaNi bahati mbaya tu! Pia na siku zao za kuishi zilikuwa zimefika mwisho
Kwenye zile bus zilizokuwa zinaenda Mbeya na Iringa nyuma kulikuwa na picha za PinguinEnzi tukiwa pale NJOSS story zilikua ndo hizo
Mmiliki wake anaitwa Omary Msigwa. Ni MkingaHiyo kampuni nani mmiliki wake?
Mkinga fulani. .......Msigwa from Makete. Case closed.Hiyo kampuni nani mmiliki wake?
Kama ni hao jamaa ni sawa mambo yanayotokea.Mmiliki wake anaitwa Omary Msigwa. Ni Mkinga
Nasikia wa wakinga ni washirikina sanaaaMmiliki wake anaitwa Omary Msigwa. Ni Mkinga
Hao jamaa ndiyo mambo yao hayo.Mkinga fulani. .......Msigwa from Makete. Case closed.
Wako vizuri sana eneo hilo.Nasikia wa wakinga ni washirikina sanaaa
Unanikumbusha mbali sana mkuu ila mwisho wa mwezi naenda Mbeya , nikiyaona nitayapiga picha mkuu .nitakutumiaKwenye zile bus zilizokuwa zinaenda Mbeya na Iringa nyuma kulikuwa na picha za Pinguin
Mmmmmh.mleta mada ana haki ya kuuliza.wakinga nyokooo.Mmiliki wake anaitwa Omary Msigwa. Ni Mkinga
Wakinga hawafai.Mkinga fulani. .......Msigwa from Makete. Case closed.
Mm hapaHiyo kampuni nani mmiliki wake?
Kinyesi chakoMm hapa