Basi la Superfeo lapata ajali Songea

Basi la Superfeo lapata ajali Songea

Hivi siwezi pata rafiki mkinga humu maana maisha haya ya magufuli sio mchezo,mi nikiwa na basi zangu mbili tu zinanitosha
 
Umenena vema mkuu Chikira na uzuri kwa hii ya Jana kuna ushahidi kabisa dereva alikua anachezea cm wakati wa ajali inatokea
Ndiyo sababu yenyewe we unafikiri mauzauza ni mpaka litokee lijitu la kutisha barabarani,usikute hata hiyo simu haiukupigwa na mtu yeyote bali ilijipiga kimiujiza ,alafu jiulize gari liko speed 120 dereva makini unaanzaje kupokea simu
 
ni usafiri niliokuwa nauamini sana kila niendapo songea kutoka dar....huwa wana mwendo mzuri sana barabarani.
nadhan ni bahati mbaya tu
Wenye mwendo mzuri ni ILYANA bus wanaenda kama kinyonga ila ndiyo ujiandae kufika SONGEA saa 6 usiku from DAR saa 12 asubuhi
 
Wenye mwendo mzuri ni ILYANA bus wanaenda kama kinyonga ila ndiyo ujiandae kufika SONGEA saa 6 usiku from DAR saa 12 asubuhi
Duh!! kwn ni hiari yao au sheria za barabarani zinawalazimisha mkuu?
 
Ukiwa na iman bila ushaidi usiwasilishe jambo mnakela sna,sisi tunaona niajali yakawaida wewe unataka kuingiza vitu vyako vya fikra vinyu..
 
Wenye mwendo mzuri ni ILYANA bus wanaenda kama kinyonga ila ndiyo ujiandae kufika SONGEA saa 6 usiku from DAR saa 12 asubuhi
mkuu hao ilyana wanapita njia ipi? ya moro au lindi?
nataka next time ntakapokwenda songea nipite njia ya lindi nikapate experience mpya
 
Unamkumbuka Mwlm Chura? na Milinga ?
Nawakumbuka sana walimu hao enzi hizo mkuu wa shule ni Mwaita. Kulikuwa na chura na shula. Mmoja akifuñdisha civics mwingine History. Kwa bahati nzuri nimesoma hadi six pale na mabasi ya super feo nimeyatumia sana ikiwa na pamoja na kutumiwa fedha toka mbeya kupitia makondakta wa mabasi hayo maana enzi hizo mambo ya mpesa au Tigo pesa hayakuwepo.
 
Ndiyo sababu yenyewe we unafikiri mauzauza ni mpaka litokee lijitu la kutisha barabarani,usikute hata hiyo simu haiukupigwa na mtu yeyote bali ilijipiga kimiujiza ,alafu jiulize gari liko speed 120 dereva makini unaanzaje kupokea simu
 
Huo ni uzembe wa dereva na njia yenyewe ina kona sana. Kuna siku dereva wa superfeo alikuwa anachonga na simu watu wakammind. Ila kwa kawaida wako vizuri sana. Konda aliyekufa ni mwanamke?


ws
 
Nawakumbuka sana walimu hao enzi hizo mkuu wa shule ni Mwaita. Kulikuwa na chura na shula. Mmoja akifuñdisha civics mwingine History. Kwa bahati nzuri nimesoma hadi six pale na mabasi ya super feo nimeyatumia sana ikiwa na pamoja na kutumiwa fedha toka mbeya kupitia makondakta wa mabasi hayo maana enzi hizo mambo ya mpesa au Tigo pesa hayakuwepo.
Sahihi kabisa mkuu, na disko ilikua Turbo , Majirani zetu mpechi
 
Back
Top Bottom