Wakuu,
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu ajali ya basi la sabina, ilotokea tabora kwenda mbeya baada ya basi kupinduka.Tbc wameizungumzia pia kwny jambo alfajiri hii.
Tatizo wameeleza kifupi sana. Sie tuna kaka yetu alikuwepo kwnyw hilo basi Hadi sasa hatuelewi fate take hasa ukizingatia imeua watu kadhaa,maana hapatikani kwny simu hadi sasa.
Tunaendelea kusubiri updates.
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu ajali ya basi la sabina, ilotokea tabora kwenda mbeya baada ya basi kupinduka.Tbc wameizungumzia pia kwny jambo alfajiri hii.
Tatizo wameeleza kifupi sana. Sie tuna kaka yetu alikuwepo kwnyw hilo basi Hadi sasa hatuelewi fate take hasa ukizingatia imeua watu kadhaa,maana hapatikani kwny simu hadi sasa.
Tunaendelea kusubiri updates.