Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Basi linalomilikiwa na Kampuni ya Coast Line lililokuwa likitoka mkoani Katavi kuelekea jijini Arusha lilipata ajali ya kupinduka Jana maeneo ya wilaya ya Sikonge mkoani Tabora
Taarifa zinasema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni utelezi wa barabara uliotokana na mvua zinazoendelea kunyesha baadhi ya sehemu nchini Tanzania.
Kuhusu hali ya abiria, taarifa zinadai kwamba hakuna vifo, isipokuwa kuna abiria kadhaa walijeruhiwa na walikimbizwa kwenye hospitali ya wilaya ya Sikonge kwa matibabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa zinasema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni utelezi wa barabara uliotokana na mvua zinazoendelea kunyesha baadhi ya sehemu nchini Tanzania.
Kuhusu hali ya abiria, taarifa zinadai kwamba hakuna vifo, isipokuwa kuna abiria kadhaa walijeruhiwa na walikimbizwa kwenye hospitali ya wilaya ya Sikonge kwa matibabu.
Sent using Jamii Forums mobile app