Habari nilizozipata muda huu kutoka kwa abiria aliyemo katika basi la Superfeo ni kwamba basi la kampuni ya Hekima limeanguka katika kitongoji cha Tanangozi Iringa na kuua abiria wengi idadi ambayo bado kujulikana, kwa vile kuna wengine bado wamelaliwa na bodi la basi hilo.
Kuna majeruhi wengi sana na tayari akina mama wawili wameonekana wamekatika mikono yao vibaya, hali za majeruhi ni mbaya sana.
niliwahi panda hili basi toka mbeya mpaka dar,kwakweli ilikua ni hatari sishangai likipinduka na kuua wengi,spidi jamaa alikua anaenda nayo ni hatari,nasikia alitoka lusaka zambia saa 12 asubuhi,tumefika dar saa tisa na nusu likiwa ni basi la kwanza kuingia,nilishikilia roho toka mbeya hadi dar,maana hiyo spidi mmh,poleni majeruhi na marehemu.
Lole INAWEZEKANA KWENDA KWA MWENDO HUO, kama Kiswele alikua anatoka Songea Mjini saa 12 asubuhi anatua Dar saa kumi jioni umbali wa KM 1100 HIVI, hiyo ni mid 1990s Sembuse kizazi hiki cha mabaasi.Wandugu this is too much for one to bear.
We should distinguish hearsay from fact,Lusaka -Mbeya is separated by 1200km, Mbeya Dar is about 880km.
2000km by bus in 9 and a half hours?
Thats too much for me to bear
Wakati mwingine abiria ndio wanachochea madereva waende kasi kubwaWakuu hivi inawezekana abiria tujichukulie sheria mkononi tuwachape madereva wehu hawa??
niliwahi panda hili basi toka mbeya mpaka dar,kwakweli ilikua ni hatari sishangai likipinduka na kuua wengi,spidi jamaa alikua anaenda nayo ni hatari,nasikia alitoka lusaka zambia saa 12 asubuhi,tumefika dar saa tisa na nusu likiwa ni basi la kwanza kuingia,nilishikilia roho toka mbeya hadi dar,maana hiyo spidi mmh,poleni majeruhi na marehemu.
binafsi ajali ya basi hilo niliitegemea siku nyingi saana, naamini ilikawia maana Mungu alitaka wenye mamlaka watimize wajibu wao.
ajali ya basi la Airforce liendalo Mbeya , Kyela na Tunduma nayo naisubiria kwa hamu kama wenye mamlaka wataendelea kula kuku bila kuchukua hatua.
Nasema hayo kwa sababu moja kuu.......hayo mabasi ambayo nimeyataja hapo juu ni sawa na madaladala hapa mjini kwa namna yanavyoendeshwa na madereva wahovyo mno.
kwamfano ukiwa unaenda Mbeya, ukivuka Makambako tu, hicho kisehemu kilichobaki hakinaga Trafiki, hivyo madereva wa mabasi hayo huamua kufidia muda ambao husimamishwa na matrafiki njiani.
kwakweli nawapa pole majerui woote, ila ajali ya airforce Bus naitegemea muda ama siku yoyote.....kama hatua hazitachukuliwa.
Wakati mwingine abiria ndio wanachochea madereva waende kasi kubwa
mkuu nilipandia mwanjelwa basi lilitoka zambia abiria ndani ndio walinisimulia walikotoka,na nasikia hilo basi wao wafanyabiashara zambia wengi ndio abiria kwani wanawahi dar na kupiga shoping wakifika asubuhi wanaondoka nalo tena.Wandugu this is too much for one to bear.
We should distinguish hearsay from fact,Lusaka -Mbeya is separated by 1200km, Mbeya Dar is about 880km.
2000km by bus in 9 and a half hours?
Thats too much for me to bear
Joji, Hekima kwenda mwendo wa kasi kweli ndio sifa yao, siku ambazo hakuna Trafiki wengi njiani linauwezo wakufika Tukuyu saa kumi na nusu, kweli linauwezo wakumia hata masaa 9 likiamua., acha uongo
Terrible. Lakini why Tz things like these are daily on the increase?
mi nilipoingia ndani jamaa hiyo spidi yake aliyoanza chomoka nayo toka uyole,ndiyo ilifanya niulize maana nilishangaa na ndio abiria kuniambia nisishangae ni kawaida wao wametoka zambia saa 12 asubuhi,na nakwambia basi zote mpaka zilizoondoka mbeya na zingine tunduma saa 11 alfajiri tumezipita njiani kama zimesimama.Joji, Hekima kwenda mwendo wa kasi kweli ndio sifa yao, siku ambazo hakuna Trafiki wengi njiani linauwezo wakufika Tukuyu saa kumi na nusu, kweli linauwezo wakumia hata masaa 9 likiamua.
mbona ukitumia usafiri binafsi unauwezo wa kutumia masaa nane na nusu kutoka Mbeya mjini, kumbuka hizi basi zina engine kubwa sana, na zina madereva wasio waoga, kuna mtu ananitonya ni gari zenye bodi za kichina.....pamoja na ndugu yake airforce
ni wakati sasa wa kufufua mabasi ya kamata na railway, hakukuwa na hizi ajali kwa kampuni hizi, wenye mabasi wamejaa tamaa ya pesa bila kujali wateja wao
Wandugu this is too much for one to bear.
We should distinguish hearsay from fact,Lusaka -Mbeya is separated by 1200km, Mbeya Dar is about 880km.
2000km by bus in 9 and a half hours?
Thats too much for me to bear