Pengo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 579
- 10
Habari nilizozipata muda huu kutoka kwa abiria aliyemo katika basi la Superfeo ni kwamba basi la kampuni ya Hekima limeanguka katika kitongoji cha Tanangozi Iringa na kuua abiria wengi idadi ambayo bado kujulikana, kwa vile kuna wengine bado wamelaliwa na bodi la basi hilo.
Kuna majeruhi wengi sana na tayari akina mama wawili wameonekana wamekatika mikono yao vibaya, hali za majeruhi ni mbaya sana.
Kuna majeruhi wengi sana na tayari akina mama wawili wameonekana wamekatika mikono yao vibaya, hali za majeruhi ni mbaya sana.