Basi la Happy Nation lapata ajali Mikese

Basi la Happy Nation lapata ajali Mikese

Mkuu Acha kubwabwaja na story za vijiweni wanywa kahawa......unaushahidi gani au akili yako ndogo kama Alifu ulela.

Ajali ni ajali ila kuhusisha ajali na mtu ambae ana share ata na hzo basi ni ujinga...

Raisi akiamua kuua anaua ila sio kwa style hyo......rejea awamu ya magu alivyopoteza watu kimyakimya.

Anyway npo safarini....ngoja nifike kwanza natumaini kufika salama..
Yapo makafara ya marais tunafaham na huwa wanafanya siyo stories za mtaani. Wewe hujui haya mambo tuulize sisi tulioko kwenye mfumo. Si kila kitu kionelanavyo ndivyo kilivyo.
 
Yapo makafara ya marais tunafaham na huwa wanafanya siyo stories za mtaani. Wewe hujui haya mambo tuulize sisi tulioko kwenye mfumo. Si kila kitu kionelanavyo ndivyo kilivyo.

Na hii sio kwa marafiki tu hata kwa watu binafsi,haya matukio mengi ni ya kutengenezwa,mwisho wa mwaka huu watu wanarudisha hesabu kwa boss wao.
 
Yapo makafara ya marais tunafaham na huwa wanafanya siyo stories za mtaani. Wewe hujui haya mambo tuulize sisi tulioko kwenye mfumo. Si kila kitu kionelanavyo ndivyo kilivyo.
Ushahidi upo...?

Waafrika tuna udwanzi fulani hv wakuamini mambo ya kusadikika.....na hatupendi kufanya utafiti
 
Hilo sisi hatujali, mpaka umeanza hiyo biashara ulikuwa tayari ku bear the coming risks, so what we need is maximum safety for the passengers. Hizo blah blah za maintenance and operation is none of our business.
Hama nchi ili upate hiyo maximum safety ila kama upo ndani ya nchi hiii utahama kampuni zote na utaendelea kutoa milio kama paka kabanwa na mlango
 
Ushahidi upo...?

Waafrika tuna udwanzi fulani hv wakuamini mambo ya kusadikika.....na hatupendi kufanya utafiti
Sasa unapobisha umefanya utafoti na kuweka ushahidi? Maana wenye akili hawakatai wala hawakubali mpaka huo ushahidi uwepo. Wewe bwege unabisha na huna ushahidi pia. Ndo unapochekesha. Halafu wewe ni mwarabu?Mzungu au muasia?
 
Gari inayotembea zaidi ya masaa 12, taratibu za kupewa leseni LATRA zinataka awe na dereva wawili. Madereva akili zao fyatu tu, hasahasa hawa wa ma bus.
Huyo dereva wa usiku tuna uhakika mchana alipata muda wa kulala ama alikua busy anachat?
 
Happy Nation ni mabasi ya hovyo yanayoendeshwa hovyo hovyo tu. Ajali kwa hawa jamaa ni suala la muda tu!

Halafu wadanganyifu. Unamkatia mtu tiketi inasema basi E (jipya) linalokuja ni mkangafu namba C mpaka seat zimechakaa. Na lazima liharibike njiani.

Nadhani kampuni imekua kwa kasi na sasa wameanza kujaa kiburi na kutojali. Wataanguka wasipojiangalia! 🚮🚮🖐
Nilishasema siji kupanda tena mabasi ya hiyo kampuni. Nliwahi kukata tiketi ya ilo bus la kwenda Mwanza,kuondoka Shekilango saa tisa kamili. Nkafika Shekilango saa nane na dk 45 usiku. Naambiwa gari imeondoka sasahivi,ikimbize. Namba ya gari nliyokuwa nmekata nkafukuza nkawa siipati nakutana na namba zingine kabisaa,kufika Mlandizi nkapanda gari lao la Shinyanga kama sikosei ili nkapandie gari langu Morogoro maana niliambiwa ntalikyuta hapo,ajabu nmefika Morogoro namba ya gari nliyoambiwa kupanda ni tofauti na ile nliyokata
 
Mimi sioni sababu ya haya magari kusafiri usiku. Kwa mfano mtu unaenda Moshi , masaa 8 hadi tisa umeshafika, dereva analala vizuri tu saa 12 yuko barabarani. Kiherehere tu
Mahitaji yanatofautiana, siyo wote wanapenda kusafiri hata huo mchana.
 
Madereva wanapitia mengi sana barabarani, Mungu awasimamie. Siku nilipopata ajali na nikaangalia mazingira ya ile ajali ndio nikajua kua hakuna dereva mzembe.

Utakuwa ulisinzia bila kujua wewe. Mara nyingi huwa ndo utetezi wenu.
 
Utetezi wako ni wa hovyo!

Hii ni biashara. Na hakuna aliyemlazimisha kuifanya. Kama ikimshinda anaacha watakuja wengine. Na kuna biashara ambayo siyo mchezo? Kwa hiyo watu wavumilie huduma mbovu na udanganyifu kisa biashara fulani "siyo mchezo?". Come on man!

Na katika biashara jaribu kila uwezalo kumridhisha mteja wako. Hata ukikosea au ukapatwa na dharula basi toa maelezo ya kueleweka na ikibidi muombe mteja wako msamaha. Jamaa wana kiburi utafikiri mmepanda bure. Siyo mtu anakuuliza kabisa wakati anakata tiketi kuwa hili basi ni jipya namba E unamjibu ndiyo na tiketi yake inaonyesha hivyo halafu unamletea basi limechoka kweli kweli. Huo sio udanganyifu katika biashara? Kwa nini tu usiseme ukweli?

Haya hilo basi C likashindwa kupanda Mlima Sekenke kidogo lirudi kinyume nyume likazimika hapo mbele tu. Abiria wakakaa hapo zaidi ya masaa matatu. Hakuna cha maelezo wala nini. Kumbe tatizo dogo tu filter mbovu. Akaja mwenzao akawapa filter mpya. Piga moto huku karibia na Dodoma basi likazima tena...

Aaaaaargh! [emoji706][emoji706][emoji706]
Kisheria bus ikipata shida unapewa masaa 6 kufaulisha au kutengneza
 
Back
Top Bottom