dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,597
- 60,823
aiseeKimboka
aiseeKimboka
Wamejitahidilakini hizo zote ni daraja la kati kwa mujibu wa sumatra
Hivi eee🤣🤣🤣Old skuli hayo mabus ya wazee mliokariri magari ya enzi hizo hamjui vitu vipya.
Kilimanjaro? Acha hizo aiseeTahmeed zinazopita Arusha kwenda Nairobi, Ester Bus na Kilimanjaro.
Ndio mimi bibi yangu akitaka kusafiri ananiambia hataki kupanda bus zaidi ya Kilimanjaro kama akikosa hilo anataka "daksipresi".Hivi eee🤣🤣🤣
Sasa mjukuu unamkatia gani?Ndio mimi bibi yangu akitaka kusafiri ananiambia hataki kupanda bus zaidi ya Kilimanjaro kama akikosa hilo anataka "daksipresi".
Analotaka yeye ili aridhike.Sasa mjukuu unamkatia gani?
kwa tahmeed ile ya 2 by 1 iko vizuriUnataka kuwahi kufika au kuchelewa? Ama kawaida?
Kuwahi kufika panda dar express
Kawaida panda kidia one semi luxury... Anapishana kidogo sana na dar express
Kuchelewa panda kidia one full luxury.... Ndani kuna huduma ya choo, coffee, maziwa, soda, maji, pipi, biscuit , trip comfortability, good customer care.
Esther luxury unaweza katiwa seat namba 10 ukiingia kwenye gari unakuta ina mtu. Ujinga huu wa kusumbua abiria.
Extra luxury full ni zuri ila wabahilii, unachagua tu kati ya maji or soda. Seat zao ziko very comfortable pia ana free WiFi
Kilimanjaro ni out dated. Thoe ile ya inayotoka dar saa 2 ni classic hatari na pia wanatoa chai
Tilisho hana maajabu ila anakimbia thoe hamfikiii dar express.
Tahmeed ni over rated. Sikuona jipya
Gari tamu ni kidia.
Yeah! Marangu pia zuri haya mapya usipande ya zamaniMarangu Coach
Uko serious mkuu?IBRA Line ni uko vizuri
Usije panda Dar express, utajutaDar express na Kimboka Royal coach na The super pride of kibosho
Toa kidia One harakaKilimanjaro? Acha hizo aisee
- BM
- Tahmeed
- Kidia One
- Esther
hahah lakini wako na vip zao nazo nzuriiToa kidia One haraka
Tahmeed wahuni sana. Niliwahi kupanda Basi lao VIP wanadai lina mpaka WI-FI, kuulizia Konda anadai Kifaa kibovu,, na choo hawakufungua mpaka tunamaliza safari..Tahmeed zinazopita Arusha kwenda Nairobi, Ester Bus na Kilimanjaro.
Hiv saibaba bado ipoDar express Lina KUNGUNI NA CHAWA NA VIROBOTI HALAFAI KABISA .PANDA BM COACH HUTAJUTIA .SAI BABA PIA LINA CHAWA NA KUNGUNI NA VIROBOTI .USIPANDE MSAE NA SCANDINAVIA COACH HAO WANANYONJA BLOOD WHITE CELL MKUU