Basi gani zuri luxury Arusha Dar

Basi gani zuri luxury Arusha Dar

Pia kuna Ngorika, Buffalo hizo hata 15k tu uwakika ila roho mkononi ..kMa una haraka sana chukua za magazeti zile uwakika unafika hata saa mbili asubuhi.
 
..Kama unataka kuwahi panda kidia one..the climber...ni moto sana....
 
BM, kidia one, tilisho, dar exp(hapa waambie wakukatie ile mpya)
 
Unataka kuwahi kufika au kuchelewa? Ama kawaida?

Kuwahi kufika panda dar express

Kawaida panda kidia one semi luxury... Anapishana kidogo sana na dar express

Kuchelewa panda kidia one full luxury.... Ndani kuna huduma ya choo, coffee, maziwa, soda, maji, pipi, biscuit , trip comfortability, good customer care.

Esther luxury unaweza katiwa seat namba 10 ukiingia kwenye gari unakuta ina mtu. Ujinga huu wa kusumbua abiria.

Extra luxury full ni zuri ila wabahilii, unachagua tu kati ya maji or soda. Seat zao ziko very comfortable pia ana free WiFi

Kilimanjaro ni out dated. Thoe ile ya inayotoka dar saa 2 ni classic hatari na pia wanatoa chai

Tilisho hana maajabu ila anakimbia thoe hamfikiii dar express.

Tahmeed ni over rated. Sikuona jipya

Gari tamu ni kidia.
Mada imeisha hapa,mtoa mada fuata ushauri huu wengine watakuchanganya tu.
 
Dar express Lina KUNGUNI NA CHAWA NA VIROBOTI HALAFAI KABISA .PANDA BM COACH HUTAJUTIA .SAI BABA PIA LINA CHAWA NA KUNGUNI NA VIROBOTI .USIPANDE MSAE NA SCANDINAVIA COACH HAO WANANYONJA BLOOD WHITE CELL MKUU
Kwani mabasi ya msae na scandinavia bado yapo mkuu??!!
 
pande meridian hautojutia mkuu 😆 😆 😆 😆
 
Back
Top Bottom