Dodoma Tarime lipo inakuaje Geita Dom kuwe hakuna Bus?Hakuna Dodoma
Hutaki SasaDodoma Tarime lipo inakuaje Geita Dom kuwe hakuna Bus?
acha kulinganisha tarime na vitu vya ajabu. na ni wilaya tuDodoma Tarime lipo inakuaje Geita Dom kuwe hakuna Bus?
labda uvizie yanayotokea bukobaDodoma Tarime lipo inakuaje Geita Dom kuwe hakuna Bus?
Kumbe Tarime ni town kushinda Geita?acha kulinganisha tarime na vitu vya ajabu. na ni wilaya tu
tarime ukitaka kujua ukubwa wake ,angalia idadi ya banks na branch zake . nmb ina branches 4 tarime ,na zinginezo zipo zinachuanaKumbe Tarime ni town kushinda Geita?
Kwamba Tarime ni zaidi ya Musoma na Bunda?tarime ukitaka kujua ukubwa wake ,angalia idadi ya banks na branch zake . nmb ina branches 4 tarime ,na zinginezo zipo zinachuana
ukubwa wa nini. bunda labda tushindanishe na kata ya nyamongo tu na siyo tarime as a wholeKwamba Tarime ni zaidi ya Musoma na Bunda?
Kwa mujibu wa sensa Mji mkubwa Mkoa wa Mara ni Bunda
Idadi ya Watuukubwa wa nini. bunda labda tushindanishe na kata ya nyamongo tu na siyo tarime as a whole
Tatizo ni la Dodoma au Geita? Mikoa Mingi tuu Hakuna mfano Sumbawanga -Dodoma hakuna basi.Dodoma is overrated, cheki mpaka basi la kwenda geita ambapo ni karibu hakuna wakati hapa Dar mabasi yapo ya kutosha hata Mimi ambae sijawahi fika geita nalijua basi la geita
Wtf you talking about? Dodoma is a capital city and wannabe metropolitan area in Tz. It should have the connection ukizingatia njia ndio hiyo hiyo.Tatizo ni la Dodoma au Geita? Mikoa Mingi tuu Hakuna mfano Sumbawanga -Dodoma hakuna basi.