Bashiru ni mamba mfa njaa kwenye mto, nyumbu wawe makini wasivuke mto huo

Friends and Our Enemies,

Kuna msemo wa wanazuoni unaosema kwamba chochote kinamchomfaa mamba Kwa kuliwa either kiwe kimetumbukia mtoni au kimekaa kihasara hasara kwenye kingo za mto mamba hatafanya ajizi,atakifanya kuwa ni chakula tuh.

Nimebahatika kuwa ni miongoni ambao nimepata kumshuhudia BASHIRU akiwa mwanaharakati enzi zile Yuko Chuo Kikuu huku akisimama Kawa hoja za weledi pamoja na sisi walalahoi, Kisha akiwa ni kiongozi mwenye Mamlaka makubwa ndani ya Chama na Serikali enzi ya Magufuli, na kipindi hiki ambacho hana mamlaka yoyote zaidi tu ya huu ubunge wa kuteuliwa, Kwa hakika na pasipo na shaka yoyote naweza kusema ya kwamba BASHIRU halisi ni yule ambae alikuwa ni Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Magufuli.

Kwa kifupi kabisa huyu ni mamba tuh mwenye njaa, haijalishi anasimama kueleza ukweli au kukemea uovu mtu huyu anakosa kabisa kabisa justification ya kusimama na kusema chochote labda kama ni kuomba radhi kwa matendo ambayo alishiriki ya kukandamiza demokrasia na uhuru wa habari kipindi hiko akiwa anaogelea kwenye mto wenye kila neema maishani mwake.

Anasimama Leo kutetea wakulima, na kuwaambia WAWE wakali ili waweze kusaidiwa sawa, yuko sahihi, alikuwa wapi kusimama na sisi kipindi korosho zetu zinachukuliwa na Serikali ambayo alikuwa anaisimamia huku wengine tukiambiwa hatulipwi pesa zetu hadi tuoneshe wapi yalipo mashamba ya hizo korosho?

Hivi anafahamu ni kwa kiasi gani amegharimu maisha na matumaini ya wakulima kipindi kile hadi kufikia kuwa watu omba omba had hivi Leo?

Kusimama Leo BASHIRU na kusema kwamba anachukizwa na kauli ya kusema kwamba Samia anaupiga mwingi ni dalili ya Mamba mwenye Njaa tuh, kipindi Magufuli yupo hai na watu tunalalamika vyuma vimekaza ni yeye na wenzake ndiyo walikuwa wanaimba hii nyimbo ya kwamba Magufuli anaupiga mwingi, kipi sasa kinachomshangaza?

BASHIRU alifikia hatua ya kusema kwamba wao ndiyo wenye Dola, kwa hiyo atatumia vyombo vya Dola kubakia kwenye Dola kwani siku akiacha kutumia vyombo vya Dola akatoka madarakani basi hawezi Tena kurudi kwenye Dola, na suala la Katiba Mpya na tume huru ya uchaguzi hataki kusikia.

Hakuna tofauti baina ya BASHIRU na Ndugai, ni wale wale Mamba waliotufikisha sehemu mbaya katika awamu Yao, kabla ya hawa kusimama na kukosoa wanatakiwa kwanza kusimama na kuomba radhi na wajutie matendo Yao, hadi tutapokubaliana kuwa tumewasamehe kisha wakae kando na waache watu wengine waendelee kufanya kazi na kutekeleza maono yao ya kiutawala na uongozi.
😅😅 Chawaaa mnaumaaaa Dr Bashiru mwenye amesha puliza dawa... Mtakufa kimya kimya...
 
alikuwa wapi kusimama na sisi kipindi korosho zetu zinachukuliwa na Serikali ambayo alikuwa anaisimamia huku wengine tukiambiwa hatulipwi pesa zetu hadi tuoneshe wapi yalipo mashamba ya hizo korosho?
Huyu mpole mno,hivyo tumepata pa kusemea chochote
 
Hakuna hoja ya kujibiwa,

Kinachofanyika ni yeye mwenyew BASHIRU kula mavi yake kama unavyosema,

Suala la kiongoz kukosolewa ni jambo LA kawaida na ni kaz ya vyma vya upinzan au taasisi huru nje ya chama, hata vyma vingine kama chadema au cuf na kadhalika ukisimama hadharani kukosoa viongoz lazima wakushangae Kwa kuwa vikao vya chama vipo, huyo BASHIRU alikuwa katibu Mkuu wa CCM utaratibu anaujua.

Hiko anachokifanya ni kutapa tapa tuh na kula mavi yake mwenyew, huna la kumfanya muache ale tuh,umjibu kitu gan??kama kunya kanya mwenyew na ameamua kuyala muache ale,full stop
Wewe naona umepotea kabisa. Hivi Bashiru alikikosoa chama au viongpzi wa chama? Au kuna mahali alimkosoa Rais?

Alikuwa akiongea na kikundi cha wakulima. Aliwakosoa wakulima wanaofanya kazi ya kusifia badala ya kudai haki zao kama wakulima.

Hakumkosoa Samia kwa sababu Samia hajisifu, na hatujasikia kuwa aliomba au aliwalazimisha watu kumsifu. Ni wanafiki watafuta vyeo ndio wanaofanya hiyo kazi.
 
Uzandiki kivip? Mbona ni vitu viko wazi hata ukitafuta YouTube unakutana nazo tuh kauli za hovyo na kulewa madaraka za BASHIRU akiwa katibu Mkuu wa CCM?

Suala la kusifia mamlaka bila kukosoa yeye ndie alikuwa muasisi wa Hilo,kuzorotesha demokrasia na uhuru wa habari yeye ndie alikuwa kinara enz zake,mbona Liko waz tuh.

Tunachosema hapa ni kwamba yeye ndie muasisi wa hayo mambo,anachukizwa kivip?
Bashiru ni mnafki sana uzuri ni kwamba technologia imerecord mabaya yote aliyokua anayoongea nikuhakikishie hakuna mtu mbaya kama bashiru jamaa ana Roho mbaya yule ndo alikua godfather wa magufuli

Kinachomfanya bashiru aonekane wa maana ni kwa sababu watanzania wengi ni wajinga na sifa ya mjinga huwa anasahau haraka
 
Tunakufahamu kuwa unatetea wale wa dini yako.

Si mgeni katika hili jukwaa.

Mpambanie ndugu katika imani.
 
Huyu ndiye mamba mfa maji
Alishakatwa " mkia"!
 
Friends and Our Enemies,

Kuna msemo wa wanazuoni unaosema kwamba chochote kinamchomfaa mamba Kwa kuliwa either kiwe kimetumbukia mtoni au kimekaa kihasara hasara kwenye kingo za mto mamba hatafanya ajizi,atakifanya kuwa ni chakula tuh.

Nimebahatika kuwa ni miongoni ambao nimepata kumshuhudia BASHIRU akiwa mwanaharakati enzi zile Yuko Chuo Kikuu huku akisimama Kawa hoja za weledi pamoja na sisi walalahoi, Kisha akiwa ni kiongozi mwenye Mamlaka makubwa ndani ya Chama na Serikali enzi ya Magufuli, na kipindi hiki ambacho hana mamlaka yoyote zaidi tu ya huu ubunge wa kuteuliwa, Kwa hakika na pasipo na shaka yoyote naweza kusema ya kwamba BASHIRU halisi ni yule ambae alikuwa ni Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Magufuli.

Kwa kifupi kabisa huyu ni mamba tuh mwenye njaa, haijalishi anasimama kueleza ukweli au kukemea uovu mtu huyu anakosa kabisa kabisa justification ya kusimama na kusema chochote labda kama ni kuomba radhi kwa matendo ambayo alishiriki ya kukandamiza demokrasia na uhuru wa habari kipindi hiko akiwa anaogelea kwenye mto wenye kila neema maishani mwake.

Anasimama Leo kutetea wakulima, na kuwaambia WAWE wakali ili waweze kusaidiwa sawa, yuko sahihi, alikuwa wapi kusimama na sisi kipindi korosho zetu zinachukuliwa na Serikali ambayo alikuwa anaisimamia huku wengine tukiambiwa hatulipwi pesa zetu hadi tuoneshe wapi yalipo mashamba ya hizo korosho?

Hivi anafahamu ni kwa kiasi gani amegharimu maisha na matumaini ya wakulima kipindi kile hadi kufikia kuwa watu omba omba had hivi Leo?

Kusimama Leo BASHIRU na kusema kwamba anachukizwa na kauli ya kusema kwamba Samia anaupiga mwingi ni dalili ya Mamba mwenye Njaa tuh, kipindi Magufuli yupo hai na watu tunalalamika vyuma vimekaza ni yeye na wenzake ndiyo walikuwa wanaimba hii nyimbo ya kwamba Magufuli anaupiga mwingi, kipi sasa kinachomshangaza?

BASHIRU alifikia hatua ya kusema kwamba wao ndiyo wenye Dola, kwa hiyo atatumia vyombo vya Dola kubakia kwenye Dola kwani siku akiacha kutumia vyombo vya Dola akatoka madarakani basi hawezi Tena kurudi kwenye Dola, na suala la Katiba Mpya na tume huru ya uchaguzi hataki kusikia.

Hakuna tofauti baina ya BASHIRU na Ndugai, ni wale wale Mamba waliotufikisha sehemu mbaya katika awamu Yao, kabla ya hawa kusimama na kukosoa wanatakiwa kwanza kusimama na kuomba radhi na wajutie matendo Yao, hadi tutapokubaliana kuwa tumewasamehe kisha wakae kando na waache watu wengine waendelee kufanya kazi na kutekeleza maono yao ya kiutawala na uongozi.
Chawa mwingine
 
Hivi kwa akili yako unahisi mnaokesha mitandaoni kumdhihaki JPM ndo waTanzania sio!? kumbukeni the majority tupo tumekaa kimya tukiwacheki tu.
Wapi kwenye andiko hili kadhihakiwa, ninyi kama mlikula mema ya nchi enzi hizo, mjue pia Kuna watu waliumia kipindi hichohicho. Acha Kila mtu aseme aliyopitia kipindi hicho acha watu wasemwe walivyokuwa kipindi hicho, kabla na baada ya utawala Magufuli. Magufuli hakuwa malaika, kama alitenda mema wakusema wapo kama alitenda kwa uovu pia wapo walioumia usitake asifiwe tu.

Hata hivyo badala ya kukaa kimyaa na kucheki tumia uhuru wako humu kumsifia upendavyo.
 
Huna hoja wewe kimweri, Dk Bashiru alikuwa ni katibu mkuu wa chama cha mapinduzi kazi za katibu zinajulikana,miongozo na utendaji wake ni ndani ya chama chake.

Bashiru hakuwa waziri wa kilimo wala hakuwa waziri wa viwanda na biashara,wala hakuwa waziri mkuu na hakuwa naibu Rais, wala halikuwa haingii kwenye baraza la mawaziri kwa cheo chake cha ukatibu mkuu wa chama.

Dkt. Bashiru ameteuliwa kuwa balozi na kuwa kama kiongozi ambae anaingia kwenye baraza la mawaziri kama katibu wa baraza, hata miezi miwili hakumaliza na kwa nafasi zake zote mbili halizowahi kushika hakuwa na mamlaka yeyote zaidi ya kushauli tu!

Yote uliyoandika hapa kumlaumu Dkt. Bashiru ni upupu tu,maamuzi ya mambo yote ya nchi yanatoka kwenye baraza la mawaziri,kama kuna watu wa kulaumiwa kwa makosa yaliyotokea kwenye utawala wa JPM ni aliekuwa naibu Rais ambae kwa sasa ndio Rais mrithi wa awamu ya tano,waziri mkuu,na mawaziri wote waliohudumu kwenye utawala wa JPM.

Bashiru anapaswa kupimwa kwa majukumu yake kama katibu wa chama,ambayo aliyatekeleza vyema,ikiwemo kurudisha mali zote za chama zilizokuwa zimeibiwa na wanaccm majambazi.

Kama Chanel ten, magic FM, majengo ya chama, shule za sekondari za wazazi,magari ya chama n.k

Pia Dkt. Bashiru alikifanya chama kijitegemee kimapato kupitia mali za chama bila kuomba matajiri na kukirudisha chama kwa wanachama wote.

Dk Bashiru alitimiza majukumu yake kwa weledi hayo mengine ni uongo na uzandiki wa majambazi ya ccm yenye uchungu baada ya kunyanganywa mali walizokuwa wamekiibia chama tawala.
Hapa hatuzungumzii chama bali tunazungumzia nchi. Bashiru kuwa katibu mkuu wa chama na pia kuwa katibu mkuu wa nchi ina maana huyu myu alikuwa na nguvu kubwa sana pamoja na nafasi ya kumshauri raisi, pia alikuwa na nafasi kubwa sana ya kusikilizwa na Rais.

Matokeo yake tuliyaona wote, aligeuka na kuwa mtu wa kwanza kupinga upatikanaji wa katiba ya wananchi, alikuwa mtu wa kwanza kupinga serikali ya Magufuli kukosolewa.

Waswahili wanasema ukitaka kujua tabia halisi ya mtu basi huyo mtu mpe Mamlaka au mali.
Uzuri Bashiru alishapewa vyote (Madaraka na mali) na tabia yake halisi ilionekana
 
Wapi kwenye andiko hili kadhihakiwa, ninyi kama mlikula mema ya nchi enzi hizo, mjue pia Kuna watu waliumia kipindi hichohicho. Acha Kila mtu aseme aliyopitia kipindi hicho acha watu wasemwe walivyokuwa kipindi hicho, kabla na baada ya utawala Magufuli. Magufuli hakuwa malaika, kama alitenda mema wakusema wapo kama alitenda kwa uovu pia wapo walioumia usitake asifiwe tu.

Hata hivyo badala ya kukaa kimyaa na kucheki tumia uhuru wako humu kumsifia upendavyo.

Exactly,na Kuna wanaosema kwamba asishambuliwe BASHIRU bal ijibiwe hoja yake,sasa unajibu vip hoja ya mtu ambae ni huyo huyo alieshiriki kulitengeneza hilo tatizo,na hajawahi kuadmitt kuwa alikosea Wala kuomba radhi,haiwezekani
 
Hapa hatuzungumzii chama bali tunazungumzia nchi. Bashiru kuwa katibu mkuu wa chama na pia kuwa katibu mkuu wa nchi ina maana huyu myu alikuwa na nguvu kubwa sana pamoja na nafasi ya kumshauri raisi, pia alikuwa na nafasi kubwa sana ya kusikilizwa na Rais.

Matokeo yake tuliyaona wote, aligeuka na kuwa mtu wa kwanza kupinga upatikanaji wa katiba ya wananchi, alikuwa mtu wa kwanza kupinga serikali ya Magufuli kukosolewa.

Waswahili wanasema ukitaka kujua tabia halisi ya mtu basi huyo mtu mpe Mamlaka au mali.
Uzuri Bashiru alishapewa vyote (Madaraka na mali) na tabia yake halisi ilionekana

Sahihi kabisa,na alishawahi nukuliwa na kusema kwamba atatumia Dola Kwa namna yyte ili aweze kubakia madarakani,Kwani kama akitoka madarakani hataweza kuwa na Dola na hataweza Tena kurudi madarakani,na Katiba mpya kwake haikuwa na maana yoyote kwake
 
Kuna huyu na kuna mmoja somebody Warioba last time nimesikia alikuwa  TBC,kupitia hawa mabwana ikitokea mtu amekuuliza ni nini maana ya njaa ktk siasa kupoteza uwezo wa kielimu wa mtu au jinsi njaa na kujipendekeza kunavyoweza kumfanya msomi kuonekana kama mjinga unaweza kueleza kupitia hawa wawili.

Miaka ya nyuma ITV walikuwa na kipindi kinaitwa malumbano ya hoja ilikuwa wakialikwa hawa jamaa kutoa hoja zao hutamani kipindi kiishe maana wanaongea kisomi hata asiye na elimu ya kutosha kichwani alikuwa anawaelewa ila walipojipenyeza kwenye system wakageuka msiba kama huyu Bashiru toka amejiingiza kwenye siasa hata sauti yake sitakagi kuisikia maana anavyoongea na jinsi nilivyozoea kumsikia huwa napata hasira sana.
 
Bashiru ni mnafki sana uzuri ni kwamba technologia imerecord mabaya yote aliyokua anayoongea nikuhakikishie hakuna mtu mbaya kama bashiru jamaa ana Roho mbaya yule ndo alikua godfather wa magufuli

Kinachomfanya bashiru aonekane wa maana ni kwa sababu watanzania wengi ni wajinga na sifa ya mjinga huwa anasahau haraka
Inawezekana wewe ndo mjinga kupita wote
 
Kuna huyu na kuna mmoja somebody Warioba last time nimesikia alikuwa  TBC,kupitia hawa mabwana ikitokea mtu amekuuliza ni nini maana ya njaa ktk siasa kupoteza uwezo wa kielimu wa mtu au jinsi njaa na kujipendekeza kunavyoweza kumfanya msomi kuonekana kama mjinga unaweza kueleza kupitia hawa wawili.

Miaka ya nyuma ITV walikuwa na kipindi kinaitwa malumbano ya hoja ilikuwa wakialikwa hawa jamaa kutoa hoja zao hutamani kipindi kiishe maana wanaongea kisomi hata asiye na elimu ya kutosha kichwani alikuwa anawaelewa ila walipojipenyeza kwenye system wakageuka msiba kama huyu Bashiru toka amejiingiza kwenye siasa hata sauti yake sitakagi kuisikia maana anavyoongea na jinsi nilivyozoea kumsikia huwa napata hasira sana.
Ni mnafki bashiru, polepole ni watu ambao rangi Yao halisi kila mtu anaijui hakuna watu wabaya kama wale
 
Hapa hatuzungumzii chama bali tunazungumzia nchi. Bashiru kuwa katibu mkuu wa chama na pia kuwa katibu mkuu wa nchi ina maana huyu myu alikuwa na nguvu kubwa sana pamoja na nafasi ya kumshauri raisi, pia alikuwa na nafasi kubwa sana ya kusikilizwa na Rais.

Matokeo yake tuliyaona wote, aligeuka na kuwa mtu wa kwanza kupinga upatikanaji wa katiba ya wananchi, alikuwa mtu wa kwanza kupinga serikali ya Magufuli kukosolewa.

Waswahili wanasema ukitaka kujua tabia halisi ya mtu basi huyo mtu mpe Mamlaka au mali.
Uzuri Bashiru alishapewa vyote (Madaraka na mali) na tabia yake halisi ilionekana
Bashiru ni katili na Roho mbaya ukimpa mamlaka ana element zote za udikteta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom