Bashe: Tumeanza Utafiti wa Mbegu za GMO

Bashe: Tumeanza Utafiti wa Mbegu za GMO

My Take
Nilitarajia Nguvu kubwa iwekezwe kwenye Benki ya mbegu za asili za mazao mbalimbali ambazo ziko hatarini kutoweka na kuzibiresha hizo badala ya hizi za GMO.

Ni vyema tukajua kama huu ndio msimamo wa Serikali.

Soungi mkono hoja hata kidogo 👇👇

SERIKALI imetangaza rasmi kuanza kuvitumia Vituo vya Utafiti vya Mikocheni cha Jijini Dar es Salaam na Makutupora cha Jijini Dodoma kwaajili ya kufanya majaribio na utafiti wa mbegu zenye vinasaba vya uhandisi jeni maarufu kama GMO.

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hayo leo Oktoba 16,2024 wakati akizungumza na wanajumuiya wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA.

Wanajumuiya hao ni wanataaluma, wadau waliowahi kusoma na kufanya kazi katika chuo hicho katika halfa iliyotanguliwa awali na utoaji wa zawadi kwa wanafunzi na wahadhiri waliofanya vizuri kitaaluma.

Waziri Bashe amesema serikali wameridhia uamuzi huo licha ya kwanza teknolojia hiyo haijaruhusiwa rasmi matumizi yake nchini kwa lengo la kujiweka tayari kwa kuwa na wataalamu watakaokuwa tayari wakati wowote.

Nipashe
Wanatafiti au wanazileta tu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huo ni mfano hai kwamba wataalanu wetu wamepoteza uasili wa mbegu zetu za asili
Yani nyanya kukosa maji mengi kwako ni tatizo kubwa sana?? Halafu nyanya kuoza kwa ndani chukulia tu kama mayai au nazi, pasua katikati angalia kama ni nzima au imeoza songa na maisha mengine, don't be petty.
 
Despite their benefits, GMOs are met with heavy criticism. Currently, 26 countries including France, Germany, Italy, Mexico, Russia, China, and India (19 of which are in the European Union (EU)) have partially or fully banned GMOs.
China na India wanazalisha bidhaa za GMO, halafu nchi zote hizi ulizozitaja hapa hata kama hawazalishi wanakula na kulisha mifugo yao vyakula vya GMO kutoka nchi GMO zinapozalishwa.
 
Why did Italy ban GMO?


Francesco Lollobrigida, the minister for agriculture and food sovereignty, said the aim of the bill was to “protect our culture and our tradition, including food and wine”. He said: “Laboratory products, in our opinion, do not guarantee quality, wellbeing and the protection of our culture, our tradition.”
Wao huko Italia wanayo hiyo luxury ya kulinda utamaduni wao, mtu mwenye njaa huku Africa au Asia hana huo muda na hiyo luxury, anachohitaji na chakula ale ashibe na GMO ni jibu mojawapo.
 
Bashe Hana nia njema na hili taifa, mwanzo alianza na mchele, akaleta sukari feki, saivi anataka GMO.

Napata mashaka huyu ni member of the Lodge, sio rahisi kiongozi kutetea haya mambo bila sababu za msingi.

#Depopulation Agenda.
Member wa Lodge ndio upuuzi gani??
Huu ujinga wa depopulation mnaoimbishwa miaka na miaka acheni,.dunia ina watu bilioni 8 na wanazidi kuongezeka.
 
ili iweje? mbegu za asili zina shida gani mpaka tung'ang'ane na MAMBEGU ya kutengeneza kwa SINDANO?

limbegu linapigwa SINDANO, WE HUOGOPI?
Wewe mwenyewe mbona unapigwa Sindano tangu unazaliwa mpaka utakapoingia kaburini.

Kwani umeambiwa kuna mtu anataka kukunyang'anya mbegu zako za asili??
Wewe si uendelee kuzitumia, na wanaotaka kutumia nyingine nao waachwe watumie.
 
My Take
Nilitarajia Nguvu kubwa iwekezwe kwenye Benki ya mbegu za asili za mazao mbalimbali ambazo ziko hatarini kutoweka na kuzibiresha hizo badala ya hizi za GMO.

Ni vyema tukajua kama huu ndio msimamo wa Serikali.

Soungi mkono hoja hata kidogo 👇👇

SERIKALI imetangaza rasmi kuanza kuvitumia Vituo vya Utafiti vya Mikocheni cha Jijini Dar es Salaam na Makutupora cha Jijini Dodoma kwaajili ya kufanya majaribio na utafiti wa mbegu zenye vinasaba vya uhandisi jeni maarufu kama GMO.

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hayo leo Oktoba 16,2024 wakati akizungumza na wanajumuiya wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA.

Wanajumuiya hao ni wanataaluma, wadau waliowahi kusoma na kufanya kazi katika chuo hicho katika halfa iliyotanguliwa awali na utoaji wa zawadi kwa wanafunzi na wahadhiri waliofanya vizuri kitaaluma.

Waziri Bashe amesema serikali wameridhia uamuzi huo licha ya kwanza teknolojia hiyo haijaruhusiwa rasmi matumizi yake nchini kwa lengo la kujiweka tayari kwa kuwa na wataalamu watakaokuwa tayari wakati wowote.

Nipashe
Huu ni ufisadi pia! wazungu wako bize kuhonga mavilaza haya ili wapate masoko ya huu uchafu! Mbegu za asili ni endelevu! Tukipoteza haki ya mbegu zetu za asili tutakuwa watumwa tegemezi wa majizi ya west!!
Hayo majambazi ya utafiti vile vile ni wahaini!!
Mosanto! please stop!!
 
Hatuna hela ya kujitibia cancer. Hizo GMO zimeanzia kwenye kuku wa week 3, maembe ya miaka miwili na sasa wanataka waweke kwenye kila mazao. Tutakwisha.
Kwa hiyo wagonjwa wa cancer waliojaa Ocean Road, kwa waganga wa kiwenyeji na majumbani kwenu ambao wengi hata hawajatambulika ni matokeo ya GMO??
 
Nchi 70 duniani zinaruhusu uzalishaji na matumizi ya GMO.
Marekani, China, Japan, Brazil, Canada, India, South Africa na nchi nyingine nyingi wanazalisha na kutumia GMOs.
Haya ndio majibu ya matatizo ya GMO??

Kwani kila mtu anataka mahindi ambayo ukichoma yananukia mtaa mzima??

Kwani GMO imekuambia itakunyang'anya maharage yako pendwa ya "kienyeji" ya dorea??

Kwani kila mtu anakula ugali wa dona?? Kwanza Watanzania wengi sasa hivi wanakula sembe.
We mchawi,ni hivi hizo Nchi wameidhinisha hizo GMO Kwa sehemu kubwa NJ kwenye matumizi ya vyakula vya wanyama.

Pia Kwa sababu aidha hawana Ardhi ya kutosha au Hali ya hewa ni Changamoto hivyo lazima watafute njia ya ku survive.

Sababu kama hizo Hazina nafasi hapa kwetu Tanzania.
 
Kwa hiyo wagonjwa wa cancer waliojaa Ocean Road, kwa waganga wa kiwenyeji na majumbani kwenu ambao wengi hata hawajatambulika ni matokeo ya GMO??
Hahahahah, ungejua 80% ya cancer patients ni watu wenye hela hata usingeandika. Maskini ni 20%
 
My Take
Nilitarajia Nguvu kubwa iwekezwe kwenye Benki ya mbegu za asili za mazao mbalimbali ambazo ziko hatarini kutoweka na kuzibiresha hizo badala ya hizi za GMO.

Ni vyema tukajua kama huu ndio msimamo wa Serikali.

Soungi mkono hoja hata kidogo 👇👇

SERIKALI imetangaza rasmi kuanza kuvitumia Vituo vya Utafiti vya Mikocheni cha Jijini Dar es Salaam na Makutupora cha Jijini Dodoma kwaajili ya kufanya majaribio na utafiti wa mbegu zenye vinasaba vya uhandisi jeni maarufu kama GMO.

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hayo leo Oktoba 16,2024 wakati akizungumza na wanajumuiya wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA.

Wanajumuiya hao ni wanataaluma, wadau waliowahi kusoma na kufanya kazi katika chuo hicho katika halfa iliyotanguliwa awali na utoaji wa zawadi kwa wanafunzi na wahadhiri waliofanya vizuri kitaaluma.

Waziri Bashe amesema serikali wameridhia uamuzi huo licha ya kwanza teknolojia hiyo haijaruhusiwa rasmi matumizi yake nchini kwa lengo la kujiweka tayari kwa kuwa na wataalamu watakaokuwa tayari wakati wowote.

Nipashe
Hivi Bashe ana teknlojia na vifaa vya kutest mbegu za GMO? Anapima nini kwenye hizo mbegu?
 
We mchawi,ni hivi hizo Nchi wameidhinisha hizo GMO Kwa sehemu kubwa NJ kwenye matumizi ya vyakula vya wanyama.

Pia Kwa sababu aidha hawana Ardhi ya kutosha au Hali ya hewa ni Changamoto hivyo lazima watafute njia ya ku survive.

Sababu kama hizo Hazina nafasi hapa kwetu Tanzania.
Hata nchi matajiri kabisa ngo'ombe wao hawalishiwi ngano, viazi na matunda.
 
My Take
Nilitarajia Nguvu kubwa iwekezwe kwenye Benki ya mbegu za asili za mazao mbalimbali ambazo ziko hatarini kutoweka na kuzibiresha hizo badala ya hizi za GMO.

Ni vyema tukajua kama huu ndio msimamo wa Serikali.

Soungi mkono hoja hata kidogo 👇👇

SERIKALI imetangaza rasmi kuanza kuvitumia Vituo vya Utafiti vya Mikocheni cha Jijini Dar es Salaam na Makutupora cha Jijini Dodoma kwaajili ya kufanya majaribio na utafiti wa mbegu zenye vinasaba vya uhandisi jeni maarufu kama GMO.

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hayo leo Oktoba 16,2024 wakati akizungumza na wanajumuiya wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA.

Wanajumuiya hao ni wanataaluma, wadau waliowahi kusoma na kufanya kazi katika chuo hicho katika halfa iliyotanguliwa awali na utoaji wa zawadi kwa wanafunzi na wahadhiri waliofanya vizuri kitaaluma.

Waziri Bashe amesema serikali wameridhia uamuzi huo licha ya kwanza teknolojia hiyo haijaruhusiwa rasmi matumizi yake nchini kwa lengo la kujiweka tayari kwa kuwa na wataalamu watakaokuwa tayari wakati wowote.

Nipashe
Hii ni hatari sana kwa afya na mbegu za asili zenye lishe na virutubisho vya kutosha.
 
We mchawi,ni hivi hizo Nchi wameidhinisha hizo GMO Kwa sehemu kubwa NJ kwenye matumizi ya vyakula vya wanyama.

Pia Kwa sababu aidha hawana Ardhi ya kutosha au Hali ya hewa ni Changamoto hivyo lazima watafute njia ya ku survive.

Sababu kama hizo Hazina nafasi hapa kwetu Tanzania.
Je, kwani hapa kwetu climate change haijaathiri ukuaji wa mazao ya asili? Una mbegu ya asili inayokomaa baada ya miezi 6 na mvua zinadumu kwa miezi 4 utavuna nini?
 
IMG_20221025_214323.jpg

Tunda lolote likiwa halina mbegu kwa ndani ni tunda feki halifai kuliwa. Hili ni Tunda la Avocado aka Parachichi lililooteshwa na mbegu za kisasa aka GMO Halifai kuliwa na sio tunda zuri kwa afya ya binadamu.
ELIMINATE THE PROCESSED FOODS.jpg

'Eliminate the processed foods.the hybrid fruits and vegetables with seeds which has positive and not a negative effect on you mucus membrane anything without a seed is foreign created in laboratory''

'Ondoa vyakula vilivyosindikwa Maviwandani . matunda na mboga chotara zenye mbegu ambazo zina athari chanya na si hasi kwenye utando wa kamasi. Chochote (Tunda) bila mbegu ni kigeni kilichoundwa Maabara'' Katika Maviwanda Hakifai kuliwa na Binadamu kina madhara Makubwa. RIP Dr.Sebi
 
Hahahahah, ungejua 80% ya cancer patients ni watu wenye hela hata usingeandika. Maskini ni 20%
Japo hizi ni takwimu zako za kubumba tu lakini hata kama ingekuwa ni kweli sababu ni kwamba masikini wengi hawana pesa za kutibiwa cancer, figo au meno kwa hiyo wanajifilia taratibu tu huko majumbani, kwa mwamposa na waganga wa kienyeji.
 
My Take
Nilitarajia Nguvu kubwa iwekezwe kwenye Benki ya mbegu za asili za mazao mbalimbali ambazo ziko hatarini kutoweka na kuzibiresha hizo badala ya hizi za GMO.

Ni vyema tukajua kama huu ndio msimamo wa Serikali.

Soungi mkono hoja hata kidogo 👇👇

SERIKALI imetangaza rasmi kuanza kuvitumia Vituo vya Utafiti vya Mikocheni cha Jijini Dar es Salaam na Makutupora cha Jijini Dodoma kwaajili ya kufanya majaribio na utafiti wa mbegu zenye vinasaba vya uhandisi jeni maarufu kama GMO.

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hayo leo Oktoba 16,2024 wakati akizungumza na wanajumuiya wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA.

Wanajumuiya hao ni wanataaluma, wadau waliowahi kusoma na kufanya kazi katika chuo hicho katika halfa iliyotanguliwa awali na utoaji wa zawadi kwa wanafunzi na wahadhiri waliofanya vizuri kitaaluma.

Waziri Bashe amesema serikali wameridhia uamuzi huo licha ya kwanza teknolojia hiyo haijaruhusiwa rasmi matumizi yake nchini kwa lengo la kujiweka tayari kwa kuwa na wataalamu watakaokuwa tayari wakati wowote.

Nipashe
Kuna wakati Uchawa unauwekaga pembeni na kutoa point kama binadamu

Good 😀
 
Back
Top Bottom