Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,528
- 8,688
Sio tu najua, bali hicho kitabu kizima kipo kichwani.Wewe unajua GMO ni nini??
Sio tu najua, bali hicho kitabu kizima kipo kichwani.Wewe unajua GMO ni nini??
So what? Rubbish
Story za waganga wa kienyeji na conspiracy theorists tuView attachment 3127292
Tunda lolote likiwa halina mbegu kwa ndani ni tunda feki halifai kuliwa. Hili ni Tunda la Avocado aka Parachichi lililooteshwa na mbegu za kisasa aka GMO Halifai kuliwa na sio tunda zuri kwa afya ya binadamu.
View attachment 3127294
'Eliminate the processed foods.the hybrid fruits and vegetables with seeds which has positive and not a negative effect on you mucus membrane anything without a seed is foreign created in laboratory''
'Ondoa vyakula vilivyosindikwa Maviwandani . matunda na mboga chotara zenye mbegu ambazo zina athari chanya na si hasi kwenye utando wa kamasi. Chochote (Tunda) bila mbegu ni kigeni kilichoundwa Maabara'' Katika Maviwanda Hakifai kuliwa na Binadamu kina madhara Makubwa. RIP Dr.Sebi
Afya ya akili yako haipo sawa, pumzika na kunywa maji mengiSo what? Rubbish
Sidhani kama yuko aware na hilo, wenzetu wanarudisha mbegu za asili. Wameona namna GMO zilivyo wafanyaMbegu za GMO za nini hapa nchini, huko tu ulimwengu wa kwanza wanahangaika kurudi kwenye vyakula organic kutokana na athari mambo ya GMO, ulete GMO ili hali bado uwezo wa watu kuafford tiba ni mgogoro huduma za afya tatizo, matatizo ya afya yatokanayo na matumizi ya GMO utakabilianayo vipi kwa huu hali hii iliyopo
Huyu waziri aachane na huo upuuzi wa GMO tujikite zaidi kwenye mbegu za asili au kuna namna ameonwa na hao jamaa wa GMO!!?
GMO zimewafanya nini wenzetu?Sidhani kama yuko aware na hilo, wenzetu wanarudisha mbegu za asili. Wameona namna GMO zilivyo wafanya
GMO(genetic modified organism) ni mbegu zilizobadilishwa taarifa kwenye Dna ili kutofanana na mbegu za asili,,ili kuweza kuhimili magonjwa,,ukame,,kufupisha mda wa kutoa mazao na pia kutoa mazao mengi kuliko mbegu za asili.Kwa nini tupinge GMO??
Uongo mtupuPia mbegu hizo huharibu ardhi na kuifanya kuwa ngumu kupanda tena mbegu za asili.
Zaidi Kwa kuwa ni za kibiashara zina madawa na mbolea na booster ambazo zote unazipata Kwa supplier mmoja.
Kama wanatafiti mkubadili GMO ziwe mbegu za asili sawa!! Lakini kama wanatafiti GMo zilizozalishwa Nje kuona zinafanyahe kazi hapa , hiyo siyo!Mbegu za GMO za nini hapa nchini, huko tu ulimwengu
Mimi sijawahi kuwa chawa ila wewe ndio Kiongozi Mkuu wa machawa wa shujaa.Kuna wakati Uchawa unauwekaga pembeni na kutoa point kama binadamu
Good 😀
Kama wanatafiti kubadili GMO ziwe mbegu za asili sawa!! Lakini kama wanatafiti GMo zilizozalishwa Nje kuona zinafanyaje kazi hapa , hiyo siyo.Mbegu za GMO za nini hapa nchini, huko tu ulimwengu
Sijui.....ila hatuzitaki ......mjadala umefungwaGMO zina shida gani??
Hatuta kiiiii GMOHata nchi matajiri kabisa ngo'ombe wao hawalishiwi ngano, viazi na matunda.
Nipo Citizens TV nafuatilia Mbunge na wakili msomi mh Mutuse anavyotema Pumba mbele ya SenetiMimi sijawahi kuwa chawa ila wewe ndio Kiongozi Mkuu wa machawa wa shujaa.
Kutoa point ni wajibu wangu siku zote
Unapinga kitu usichokielewa, huo kama sio uzwazwa ni niniSijui.....ila hatuzitaki ......mjadala umefungwa
Wewe kitulize tu, GMO zitakufikia vizuri tu, ni suala la muda tu. Huwezi kushindana na teknolojia na wakati, hata chanjo za covid19 mlikomaa na hizi porojo lakini mliingia tunduni baada ya kinara wa upingaji chanjo na mhamasishaji mkuu wa uvukizaji na miti shamba naye kufikiwa.Hatuta kiiiii GMO
Naamini unaelewa vizuri jinsi mbolea flani na dawa za kuulia wadudu zinavyoifanya ardhi iwe tasa...Sasa kikubwa kuna watu kama bill gates wengi hawamjui kwamba ni mbwa alievaa ngozi ya kondoo...Anatamani aone kila mwanaume ni shoga kutokana na mutation inayotokana na chanjo na mazao ya kinafki anayojidai ni ya msaada...Viongozi wa tanzania wasiojali watu wake wanamkaribisha panya mharibifu bill gates kuja kuwekeza tanzania...Kwa nini hizo mbegu za kinafki asibadilishe mazao ya biashara tu kama pamba na mkonge,,,anakimbilia kwenye chakula tu huyo sheytwani kaona nini???Uongo mtupu
Sijawahi chanja na sitotumia hivyo vitu.Nazalosha Mwenyewe saa ngapi nitatumia hizo GMO?Wewe kitulize tu, GMO zitakufikia vizuri tu, ni suala la muda tu. Huwezi kushindana na teknolojia na wakati, hata chanjo za covid19 mlikomaa na hizi porojo lakini mliingia tunduni baada ya kinara wa upingaji chanjo na mhamasishaji mkuu wa uvukizaji na miti shamba naye kufikiwa.
I am not closed minded, however my concern is about poor support of preservation of our natural seeds, not petty as you suggestedYani nyanya kukosa maji mengi kwako ni tatizo kubwa sana?? Halafu nyanya kuoza kwa ndani chukulia tu kama mayai au nazi, pasua katikati angalia kama ni nzima au imeoza songa na maisha mengine yaende, don't be petty.
Why are you concerned with preservation of "our" natural seeds?I am not closed minded, however my concern is about poor support of preservation of our natural seeds