Kama Bashe anataka GMO afunge viragoWaziri Bashe hafai hata chembe kuwa Waziri wa Kilimo. Anataka kuwalisha Watu Sumu lohhhh kweli nchi yetu safari hii imepata viongozi. Mbegu za GMO ni sumu na hazifai kuliwa na binadamu yey annataka kupasisha hizo mbegu ziliwe na binadamu? Nutakunywa kupatwa na maradhi yasiyoweza kutibika kama maradhi ay figo kufeli maradhi Saratani maradhi ya Presha na maradhi mengine ya ajabu ajabu Wazungu huku ulaya wanakula vyakula vinavyotoka Afrika vyakaula vya asili nyinyi munataka kuwaiga wao waliotengeneza vyakula feki vya sumu. Ama kweli nchi yetu haina Viongozi wazuri na ambao wanaopenda wananchi wao .Mimi ninapinga vikali Waziri Bashe kuruhusu Mbegu za GMO kuliwa nchini kwetu Tanzania.
Kafanya mazuri mengi tunashukuru kwa hayo mazuri kafanya ila hili la GMO afunge virago kama analitaka
