Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Huyu Bashe Kwa Lugha nyepesi kabisa unaweza muita ni CHAWA asiyemtanzia ambaye anatumia Janja kujiweka karibu zaidi ya Mamlaka ya Juu, ili aendelee kuchukua Nafasi za Watanzania.
Suala lake la Sukari, Mnunuzi Mmoja wa PAMBA, huku wakulima wakizidi kua Masikini Hana namna ya Kulikwepa, Njia pekee alonayo Bashe ni kua kimbelembele hasa Nyakati kama hizi kufanya uchawa .
Watashindwa tu : Samia Must Go !!.
Suala lake la Sukari, Mnunuzi Mmoja wa PAMBA, huku wakulima wakizidi kua Masikini Hana namna ya Kulikwepa, Njia pekee alonayo Bashe ni kua kimbelembele hasa Nyakati kama hizi kufanya uchawa .
Watashindwa tu : Samia Must Go !!.