Watapelekwa mirembe wengi sana na viroba ndo vilikuwa vinawasaidi kutokwa povu sa hv watatokwamaji midomon mwaoJamani swali mbona wanachama wa upinzani ndo mnaofutulia sana habari za ccm. Vipi utamfuatilia demu au dume kama humpendi. Yani naona nataka sitaki. Ama sivyo achaneni na ya dodoma tuleezeni mh mbowe anasema au dr mashinji. Yani kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Mtu akinyimwa unyumba na mkewe anakuja jf anatukana rais. Akilewa anakuja anatunga habari. Yani hakuna hoja ni kashfa au lugha mbovu ahhhh
Sio kweli! HahahahaUstaarabu wa kupigana kwenye vikao.
Kunguru ana nafuuCCM wamekua waoga kama kunguru
Acha waisome nambaIla asubuhi hii wamekamatwa wako lokapu Dom
Hizi ndoto tumekuwa nazo miaka kibao ila kila uchaguzi tunaangukia puaWapinzani tufunge na kuomba ili huyu mzee akisambaratishe ccm
Kweli kabisa hasa kwa watu wapenda visasi kama ndani ya ccmbashe awe makini sana ndani ya ccm. wanamtafutia timing....
Hata roma haikujengwa kwa siku mojaHizi ndoto tumekuwa nazo miaka kibao ila kila uchaguzi tunaangukia pua
Ila tukiwa na watu wa aina yako tutachukua hata miaka 200 maana nyinyi ndio mtaji wa ccmHizi ndoto tumekuwa nazo miaka kibao ila kila uchaguzi tunaangukia pua
Nashangaa vijana wa upande wa pili kushangaa CCM mtu anayeenda kinyume na maadili ya chama na kudai CCM haina demokrasia,wakati huo wao walifukuza watu kisa tu kuchukua fomu ili kushindana na mwenyekiti wao.
hahahaha think twice