Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,919
- 7,768
Kinana atazungumza kwa maelekezo ya 'mtukufu' mwenyekiti!
Ila asubuhi hii wamekamatwa wako lokapu Dom
hahahah mi nan aliyetimuliwa akasalila kimya bila kupokelewa kwa shangwe na nderemo na mwenyekiti wenu, its okay acha tuwape makapiHatushangai bali tunataka mtimuane hadi akibaki Mkiti pekee who cares.
rudia kusomaBado sijaelewa
Taratibu utaelewa tuBado sijaelewa
Sema badala ya kujenga chama huyu mzee anatengeneza makundi mapya kabisa.
Na watakuja kustuka tayari its too late
Ila poa adui muombee njaa
CCM wamekua waoga kama kunguru
Achunge ulimi wake....Wakuu,
Nimepata kusikia audio Musukuma akihojiwa kuhusu taarifa zilizosambaa jana kuwa yeye na wengine niliowataja kwenye title hapo kuwa wamefukuzwa uanachama.
Nimejaribu ku share iyo audio but imeshindikana kuja. Nitanukuu maneno ya Musukuma
"Uongo Mtupu, wameandika mimi na Bashe na malima tumefukuzwa uanachama, hapa nilipo nimepiga kijani na mi ni mwanachama na kesho watazungumza, itaonyeshwa live. Ni maneno tu ya propaganda. "
CCM ni wastaarabu wamepangika kwa kweliHakuna chama chenye viongozi waoga kama CHADEMA. Yako matukio mengi yanayothibitisha kauli yangu hiyo, lakini ya hivi karibuni ni ya M/kiti wake kukimbilia mahakamani kuomba kinga ya kutokukamatwa au kuwekwa kizuizini, badala ya kupambana na aliyemtuhumu njia zilizo sahihi.
CCM inavifundisha vyama vingine, siasa za kistaarabu na kumchukulia hatua mwanachama yeyote anayekiuka taratibu na kanuni za chama, km waliotemwa jana, bila kujali umaarufu wake.