Mwenyekiti wa chama Mdebwedo? yaani chama ambacho hata ukikohoa kikaoni unahojiwa we! kwa nini unakohoa wakati mwenyekiti anazungumza? lazima ujibu ccm oyee!![]()
naona CCM stress zenu mnaziamishia chadema
Zidumu fikra za mtukufu mwenyekiti.
Kwani mirembe si ipo hapo karibu?hahaha ccm vichaa
Tena kunguru wenyewe wa zanzibar maana wa hapa kariakoo hawaogopiCCM wamekua waoga kama kunguru
Atawaburuza kweli sasa hivi maana washaogopaFikra sahihi za mwenyekiti zinawachanganya...
Nafsi inamsutaMagufuli ni muoga sana.
Ustaarabu wa kupigana kwenye vikao.CCM ni wastaarabu wamepangika kwa kweli
Ndiyo maana wewe kila baada ya wiki unapigwa ban yaani ni mfungwa mzoefuChaggadema wamepatwa na tumbo la kuhara
Vipi mbona mapovu?Wewe uliyepost ni mpotoshaji, nimemwona akihojiwa na alichokisema meno kwa meno. Sitayarudia aliyoyasema lakini kwa watakaoangalia replay baadae wataelewa upotoshaji wako uko wapi. Kuongeza maneno maneno huwa kunawasaidiaje?
Wapinzani tufunge na kuomba ili huyu mzee akisambaratishe ccmSema badala ya kujenga chama huyu mzee anatengeneza makundi mapya kabisa.
Na watakuja kustuka tayari its too late
Ila poa adui muombee njaa
Nami nasema awaburuze tu, maana hamna namna tena...Atawaburuza kweli sasa hivi maana washaogopa
Hadi hapo watakapo pata akiliNami nasema awaburuze tu, maana hamna namna tena...
Ukiona hivyo somo limeelewekaVipi mbona mapovu?
Tuka tazame nini?one man show?Wakuu azam two wako live