Bashe anataka kumfanya nini Nape?

Bashe anataka kumfanya nini Nape?

Kamura

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2011
Posts
508
Reaction score
52
Gazeti la leo la Mwanahalisi limepambwa na kichwa cha habari "Nape amgeukia Kikwete" likimnukuu Nape akisema kwamba JK ndiye chanzo cha matatizo ndani ya CCM na kumtaka naye ajivue gamba. La ajabu maneno hayo yanadaiwa Nape aliyatoa akiwa kwenye chumba cha habari cha New Habari (2006) Ltd, mahasimu wakubwa wa Mwanahalisi ambao walichafuana kwa kupakana matope kupitia magazeti yao.

Mazungumzo yaliyochapishwa inaonekana yalikuwa majibishano kati ya Nape na Bashe. Lakini baada ya majibishano hayo kwa lengo la kufanya 'Character assasination' Bashe ameamua kuongeza chumvi aliyoyasema Nape na kuwapa mahasimu wake (Mwanahalisi) ambao wamekuwa wakimwandika vibaya bosi wake (Rostam) ili amgombanishe na Mwenyekiti wake JK.

Bashe anaonyesha haja komaa kisiasa, pamoja na tofauti walizonazo (Nape na Bashe), Nape alimua kuitembelea New Habari bili kujali kwamba wana uhasimu wa kisiasa lakini alichokifanya Bashe ni utoto unaolenga kumwaribia Nape.

Mwandishi wa Mwanahalisi aliingiaje kwenye chumba cha habari cha New habari?

Bashe acha siasa za maji taka.
 
Maneno ya Nape kutoka gazeti la MwanaHalisi

"pamoja na kwamba hatuwezi kumwajibisha mwenyekiti kwa sababu ni wajibu wetu kulinda hadhi yake, lakini naye hawezi kujinasua katika tuhuma za kuvurugika kwa chama chetu hadi kufanya vibaya katika uchaguzi mkuu uliopita"

Source: MWANAHALISI,JULAI 13,2011 Jumatano.
 
Kwani alichosema Nape uongo Kikwete ndiye sababu ya magamba mengine kugoma.
 
Mkuki chungu kwa binadamu co!,kama hii taarifa ni ya kweli,ni alert nyingine kwa mkuu wa kaya kwamba n.a.pe ni mnafiki mkubwa,kilichomfanya aanzishe ccj bado anacho rohoni-atakuja kummaliza jk one day.Ngoja nipate nakala yangu Mwanahalisi kwanza
 
Bashe na akili zake za kitoto,siasa zake za maji taka zinampeleka pabaya huku akijiona kuwa yeye ni mjanja fulani toka Nzega, Hizo ni mbinu zile zile zilizowahi tumiwa na Salva + RA kabla ya 2005...Sioni jipya mwenzenu
 
Afadhali Nape sasa anagundua kuwa yeye ni mende tu kwa hiyo hawezi kuangusha kabati.
 
Mkuki chungu kwa binadamu co!,kama hii taarifa ni ya kweli,ni alert nyingine kwa mkuu wa kaya kwamba n.a.pe ni mnafiki mkubwa,kilichomfanya aanzishe ccj bado anacho rohoni-atakuja kummaliza jk one day.Ngoja nipate nakala yangu Mwanahalisi kwanza
Jf niwatu makini.umeanza kwa kukurupuka sana tafura habarikamili Kwanza ndipo u comment. naona unahamu sana yakuanzisha Chama, ccj imetokawapi hapo?
 
As i replied in one of the topics recently, CCM started music by the name CHENGE, LOWASA AND ROSTAM ( call it magambas) so that everybody will stand, listen and play so that we forget wat CCM has done to us, now things has change, nobody listen or play there music. Now they all try to play everybody his own music so that we can count him innocent. TOOOOOOO LAIT FOR THAT. WE NEED CHANGES. CCM GOOOO GOOOO. We are tired of you. We don't deserve on how we are fo all this 50 yrs.

WE NEED CHANGES, YES WE CAN
 
Kwani alichosema Nape uongo Kikwete ndiye sababu ya magamba mengine kugoma.

Ndicho ninachompendea Nape Huwa Hamung'unyi Maneno, Nape Mwambiye Ukweli huyo Mwenyekiti wako
 
Hata nape hajakomaa kisiasa!!kajiingiza kichwa kichwa watu wameamua kufanya kweli.Hongera Bashe kwa kutumia nafasi hadimu kutimiza malengo yako ya kisiasa!!
 
Bashe na akili zake za kitoto,siasa zake za maji taka zinampeleka pabaya huku akijiona kuwa yeye ni mjanja fulani toka Nzega, Hizo ni mbinu zile zile zilizowahi tumiwa na Salva + RA kabla ya 2005...Sioni jipya mwenzenu
Wale waliyemuujumu NEC na kukata jina lake kwa kisingizio cha uraia walikuwa wanafanya siasa za kikubwa?haikuwa siasa ya maji taka?yeye alipoamua kuendelea kubaki CCM hata baada ya kuonewa na kudhalilishwa mbona mlimuita amekomaa kisiasa?vipi leo mbona anaonekana hajakomaa kisiasa?kweli mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!!
 
Gazeti la leo la Mwanahalisi limepambwa na kichwa cha habari "Nape amgeukia Kikwete" likimnukuu Nape akisema kwamba JK ndiye chanzo cha matatizo ndani ya CCM na kumtaka naye ajivue gamba. La ajabu maneno hayo yanadaiwa Nape aliyatoa akiwa kwenye chumba cha habari cha New Habari (2006) Ltd mahasimu wakubwa wa Mwanahalisi ambao walichafuana kwa kupakana matope kupia magazeti yao.

Mazungumzo yaliyochapishwa inaonekana yalikuwa majibishano kati ya Nape na Bashe. Lakini baada ya majibishano hayo kwa lengo la kufanya 'Character assasination' Bashe ameamua kuongeza chumvi aliyoyasema Nape na kuwapa mahasimu wake (Mwanahalisi) ambao wamekuwa wakimwandika vibaya bosi wake (Rostam) ili amgombanishe na Mwenyekiti wake JK.

Bashe anaonyesha haja komaa kisiasa. Pamoja na tofauti walizonazo (Nape na Bashe), Nape alimua kuitembelea New Habari bili kujali kwamba wana uhasimu wa kisiasa lakini alichokifanya Bashe ni utoto unaolenga kumwaribia Nape. Mwandishi wa Mwanahalisi aliingiaje kwenye chumba cha habari cha New habari? Bashe acha siasa za majitaka.

Kwa hiyo tukuelewe kuwa Umetumwa na Nape au unametetea Nape?
Hebu Toa Upuuzi wako hapa, kwani hujui kuwa Kikwete ndio Gamba kama yalivyo ya pacha 3
 
Dawa ya nyoka mwenye sumu ni kumuangamiza kabisa, hata akijuvua magamba ataendelea kuwa nyoka tu mwenye madhara
 
Gazeti la leo la Mwanahalisi limepambwa na kichwa cha habari "Nape amgeukia Kikwete" likimnukuu Nape akisema kwamba JK ndiye chanzo cha matatizo ndani ya CCM na kumtaka naye ajivue gamba. La ajabu maneno hayo yanadaiwa Nape aliyatoa akiwa kwenye chumba cha habari cha New Habari (2006) Ltd mahasimu wakubwa wa Mwanahalisi ambao walichafuana kwa kupakana matope kupia magazeti yao. Mazungumzo yaliyochapishwa inaonekana yalikuwa majibishano kati ya Nape na Bashe. Lakini baada ya majibishano hayo kwa lengo la kufanya 'Character assasination' Bashe ameamua kuongeza chumvi aliyoyasema Nape na kuwapa mahasimu wake (Mwanahalisi) ambao wamekuwa wakimwandika vibaya bosi wake (Rostam) ili amgombanishe na Mwenyekiti wake JK. Bashe anaonyesha haja komaa kisiasa. Pamoja na tofauti walizonazo (Nape na Bashe), Nape alimua kuitembelea New Habari bili kujali kwamba wana uhasimu wa kisiasa lakini alichokifanya Bashe ni utoto unaolenga kumwaribia Nape. Mwandishi wa Mwanahalisi aliingiaje kwenye chumba cha habari cha New habari? Bashe acha siasa za majitaka.

Now they are talking. Hatimaye ukweli unasemwa. Bado tunasubiri zaidi. Kama ni kweli huyo nepi kaongea hivyo huo ndiyo ukweli wenyewe. Kumbe ukweli wanaujua lakini wanajaribu kutaka kukata majani ya mti mbaya na kuliacha shina hamuwezi kujisafisha. Mtaendelea kufanya pumba pumba pumba tu. Anzeni na ile "source" halafu ndiyo muwafuate akina mzee vijisenti na wengine.
 
Wale waliyemuujumu NEC na kukata jina lake kwa kisingizio cha uraia walikuwa wanafanya siasa za kikubwa?haikuwa siasa ya maji taka?yeye alipoamua kuendelea kubaki CCM hata baada ya kuonewa na kudhalilishwa mbona mlimuita amekomaa kisiasa?vipi leo mbona anaonekana hajakomaa kisiasa?kweli mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!!

Kwa mtaji huo UVCCM na CCM hawawezi kuisaidia CCM kwani wajenzi wa nyumba moja hawawezi kujenga kwa kunyang'anyana fito.
 
Kwa hiyo tukuelewe kuwa Umetumwa na Nape au unametetea Nape?
Hebu Toa Upuuzi wako hapa, kwani hujui kuwa Kikwete ndio Gamba kama yalivyo ya pacha 3

Simtetei Nape ila alichokifanya Bashe ni ubazazi kwani huwezi kumkaribisha mtu kwako halafu ukamzushia jambo. Hayo ya JK kama naye ni gamba waazimie kumvua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom